Training itafanyika baadaye ngumi zikishamalizikaAfrika safari bado ndefu sana, hiyo mbona ni kama wrestling ya WWE tu. Tena hayo mazingira ni hatarishi sana, pengine hata training yoyote hawana
Dah, hiyo ni hatari kwa kweli. Jamaa anapanda kwenye mti kufuata mkanda kule juu, alafu stage yote mnapishana na miti tu, hahahahahahahahahaTraining itafanyika baadaye ngumi zikishamalizika
Mtu mkanda anaufuata mwenyewe juu ya mti huko sio anakabidhiwa mkomoni kama mwali anavishwa kidaniDah, hiyo ni hatari kwa kweli. Jamaa anapanda kwenye mti kufuata mkanda kule juu, alafu stage yote mnapishana na miti tu, hahahahahahahahaha
Mchezo wa kibabe huo kama Hizbullah. Huo mchezo hatari kama Wahouth mkuu.Kaagalie ''Dambe warriors'' ndio mchezo maarufu Africa ...Wanatumia mkono mmoja kupigana .
Fikiria watu kama hao ukutane nao wao wakiwa panya Road mtu lazima ulie mmmmaMchezo wa kibabe huo kama Hizbullah. Huo mchezo hatari kama Wahouth mkuu.
Huyo kwenye DP ndio hutaki tumuoe ukifa?Shida ya wafrika tukishiba tu Kila kitu tunaona simple tu Tena hii hutokea sana Wakati wa mavuno
Africa experience matter first training badaeAfrika safari bado ndefu sana, hiyo mbona ni kama wrestling ya WWE tu. Tena hayo mazingira ni hatarishi sana, pengine hata training yoyote hawana
Aliyebeba mkanda Jeshi la Uganda limwajiri jeshini kikosi cha makomandooHapo washashiba chakula chao kile cha maharage na ndizi, wanatafutia kwa kumalizia shibe.
Ila huu nao ni ubunifu kweli kweli, alafu wanatumia zile ngazi za mafundi ujenzi. Nimemuona mmoja kapigwa ile style ya Randy Orton.Mtu mkanda anaufuata mwenyewe juu ya mti huko sio anakabidhiwa mkomoni kama mwali anavishwa kidani
Mtu anapigwa mpaka anatapika , ukiangila zile TKO zao watu wanazima kweliMchezo wa kibabe huo kama Hizbullah. Huo mchezo hatari kama Wahouth mkuu.
Mtu anapigwa mpaka anatapika , ukiangila zile TKO zao watu wanazima kweli
Hizo ndio ngumi za ukweli hakuna cha referee kuingilia kati anayezimia azimie akizinduka sawa asipozinduka pia sawa tu atajijuaMtu anapigwa mpaka anatapika , ukiangila zile TKO zao watu wanazima kweli