Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Ukitaka kujua Kagame anaogopa Tanzania fuatilia siasa zake enzi za Magufuli.Acha hizi story za kisenge za 10 years ago kwenye nchi ambayo sio Uganda au Rwanda,
Ni Congo walikutana huko,with different motives,hivyo usilete hizi alinancha
Refer ugomvi wa Kagame na Museveni in 2019-2020 wa mpaka wa Rwanda na Uganda ,Kagame kaomba msamaha mwenyewe!
Kagame ni msenge tu...anatumia media kujitangaza ana uwezo mkubwa but in reality hiyo ni marketing tupu,Kikwete anamjua vizuri
Kwanza alijifanya kumletea mdomo Mkapa,akanyooshwa,then akajifanya kumfunulia pua Kikwete,akanyooshwa
Kagame ni kiazi kabisa
Halafu watu wasichokijua huyo jamaa hana miaka 5 ataondoka kwenye hicho kiti tatizo je Rwanda itabaki salama? wahutu nao wanakula timing.
Kama Kagame ana akili ajitahidi kuleta biashara Tanzania kama Museveni alivyofanya (bomba la mafuta) ili moto ukiwaka tuwasaidie kwasababu za kiuchumi.