KHM 1995
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 461
- 729
Logic inakua criticized by logic, ukubwa wa nchi hauipimi nchi kwa nguvu ya kijeshi ,full stop, kwa mwenye akili atakua ameelewaDogo kata gogo kwanza urudi vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Logic inakua criticized by logic, ukubwa wa nchi hauipimi nchi kwa nguvu ya kijeshi ,full stop, kwa mwenye akili atakua ameelewaDogo kata gogo kwanza urudi vizuri
Haki zipi hao jamaa wamedhulumiwa?endeleen kufanya zuluma dhidi ya uislamu na waislamu, Allah atawalipeni.
imeeandikwa:, makafiri hawatokuwa radhi hadi mfuate mika zao.
Narudia, Tanzania haiwezi kuchokozana na kata, ni kujidhalilisha. Itoshe kusema hivyo, Rwanda sio Israel wala sio uingereza, ni makapuku wanuka mikojo, waliowahi kutujaribu wanaweza kuwa source nzuri ya taarifa kwako.Bro ukubwa wa nchi haupimwi kwa nguvu ya kijeshi, kama ukubwa wa nchi unapimwa kwa nguvu ya kijeshi basi nendeni mkaiambie jwtz ikavamie Israel yenye watu kama million 9,kwa logic nyepes muone vile mtakapo chapika, kama kigezo ni ukubwa wa nchi ndio uwezo wa kijeshi bas uingereza isingetawara dunia, kama ukubwa wa nchi ni kigezo cha uimara kijeshi bas China ingeivamia haraka zaid Taiwan....watanzania Tunaishi kwa hisia ndio maana tunaonekana wendawazimu na ovyo kifikra
Haki za kupigwa miti mkuu.Haki zipi hao jamaa wamedhulumiwa?
kwani mahakama hazipo? kwanini msiwapeleke mahakamani kot iamue ikiwa ni magaidi kweli! mnajuaje kuwa huyu ni gaidi na si raia mwema tu au kisa ana ndevu na amevaa pajama ndiyo anakuwa gaidi? .Haki zipi hao jamaa wamedhulumiwa?
Kati ya jeshi na Hao wahuni nani aliyeanza mauaji? Yaani uue utegemee ukamatwe upelekwe mahakamani? Risasi hujibiwa kwa Risasi.kwani mahakama hazipo? kwanini msiwapeleke mahakamani kot iamue ikiwa ni magaidi kweli! mnajuaje kuwa huyu ni gaidi na si raia mwema tu au kisa ana ndevu na amevaa pajama ndiyo anakuwa gaidi? .
kinachofanya muwaue sio ugaid bali uislamu wao.
mnachuki na Uislam na waislamu.
waislamu tumekuwa watu wa kuonewa kila k
ona na dunia ipo kimya.
ALLAH ATUFANYIE WEPESI WAJA WAKE.
Na hao jamaa kabla ya kupigwa risasi inatakiwa mbwa wawaphile Kwanza were wakiridhika baadae watwangwe risasi kazi iishe.Kati ya jeshi na Hao wahuni nani aliyeanza mauaji? Yaani uue utegemee ukamatwe upelekwe mahakamani? Risasi hujibiwa kwa Risasi.
Nikusaidie tu, haww wala hawapiganii Uislam, ni siasa na biashara.