Mchezo umekwisha, kijiji cha Kipilipili barani Asia kishauzwa

Sasa kilichobaki ni viongozi wake kuwahadaa wananchi wake.
Wanawaambia ajira zitaongezeka, maji na umeme havitakatika.
Kijiji kilishauzwa zamani sana, tangu mfalme wa kijiji chao alipokwenda likizo kwenye kijii cha mnunuzi.
Tuliza mshono
 
Sasa kilichobaki ni viongozi wake kuwahadaa wananchi wake.
Wanawaambia ajira zitaongezeka, maji na umeme havitakatika.
Kijiji kilishauzwa zamani sana, tangu mfalme wa kijiji chao alipokwenda likizo kwenye kijii cha mnunuzi.
Kwa hatua tuliyofikia, naona kuna kila sababu kwa sasa kwa Watanganyika kuandaa MKAKATI MAALUMU WA DHARULA WA "KUZIHAMI" BANDARI ZA TANGANYIKA pamoja na Rasilimali nyinginezo za Tanganyika.
Ningependa kuona kwamba Operesheni ya Kuzihami Bandari za Tanganyika ikianza mara moja bila kuchelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…