BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Hhhahahaah....weka evidence.Jamani nitamfilisi mhindi Leo nimepokea milioni 40 za mhindi. Kweli huku mwaka wngu
Tunaomba evidence sio maneno.Hhhahahaah....weka evidence.
Mkuu tunakusubiri.....nataka utushawishi na wengine kua betting inalipa japo napo bahati yahitajika. tunasubir mkuuSubiri nitoke benki niwaoneshe
Unaweza kuficha majina na sehem muhimu ila uache tu sehem ya amount. Kua umepokea. [emoji3]Mkuu tunakusubiri.....nataka utushawishi na wengine kua betting inalipa japo napo bahati yahitajika. tunasubir mkuu
Milion 40 mchezo.....Jamani nitamfilisi mhindi Leo nimepokea milioni 40 za mhindi. Kweli huku mwaka wngu
acha kupotosha jamii.Kaka usihangaike kutafuta pesa bet mimi napiga hela sana masela you can immagine nimeanza kubet three weeks ago but up to now nina Tsh million 45 nilianza kwa mtaji wa buku tano