jambo Tanzania
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 377
- 281
Nimekuwa nikifuatilia mchezo huu.ila cha ajabu kwanini uwa hawazungushi hizo mashine zao live?.wanaonyesha heti wanampigia mshindi wakati wanakuwa wameishacheza.Kweli wa Tanzania twaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app