draft tunaweza tunaojua hesabu...sasa hesabu ulipata F draft utalielewa kweli!Ukiskia mchezo amabao umenishinda
N huu wa draft hua c uelewi
kabsa nmejitahid kujifunza nielewe
Lkn wap
Cjui hata unaazia wap na kuishia
Wap
Mkuu inawezakana sana kwa maana wewe kama hujala kete yake ukimpiga force king ili uue king yake na hauna ya kumvalisha hapo mpinzani wako anakuwa kashinda kwa sheria kwa mchezo hauendelei mpaka umvalishie king yake
hamna iko kitumuulize nguli yeyote wa huo mchezo atakwambia hio situation ipo....mtu yeyote Anayejua draft lazima atakua amekutana na hio kitu au ameona au ameshasikia kuhusu hilo mkuu
kuna firce king inatokea bila kulana...embu acheni ubabaishaji basiuhalisia wa aje unautaka mcheza draft mahiri pia mimi mwenyewe shakutana nayo hipo inatokea zaid kwa kupitia force king
achana nao hao...si ajabu wanadhani draft ni bao[emoji23][emoji23][emoji23]Tena Force King ndio haiwezekani,
Maana lazima umpe yeye ale kete yako ili umvute kwenye 18 zako ndio umkule mpaka King.
Hivi ki ualisia tu kila mtu ana kete zake 12 zilizokaa upande wake, mtapishana pishana vipi mpaka ufike King bila kulana aisee? Labda nikuulize swali, unasema inawezekana wewe kutoliwa mpaka ukafika king, je na yeye atakua pia hajaliwa?
Sio uwezekano ni mdogo, bali haupo kabisa.Uwezekano wa wewe kufika King huku ukiwa na kete zako zote 12 full ni mdogo mno, labda uwe unacheza na mbumbumbu,
Kuna sehemu lazima umpe ale (umtege) ili akijaa mbele yako ndio uingie King.
Lakini kama theory tu na sio uhalisia basi kama mnatumia visoda itabidi tu ugeuze kisoda chako kilichoingia King ili kitofautiane na kingine
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]draft tunaweza tunaojua hesabu...sasa hesabu ulipata F draft utalielewa kweli!
Uko sahihi kwa 100% Huwezi kuingia kingi bila kete yako kuliwa. Impossible...!!kwenye draft huwezi kufika king km hamjalana hata kete mmoja ...hamna kitu kama icho...ingawa kuna mchezo wa kubanana ambao unaweza kumpiga mtu super bila kulana hata kete moja...nimesema mimi fundi wa draft ..
Bao je umejaribu?Ukiskia mchezo amabao umenishinda
N huu wa draft hua c uelewi
kabsa nmejitahid kujifunza nielewe
Lkn wap
Cjui hata unaazia wap na kuishia
Wap
Babuuuuuuuuuu,Uko sahihi kwa 100% Huwezi kuingia kingi bila kete yako kuliwa. Impossible...!!
Hahahha... natamani niwe nimekuelewa kama nilivyokuelewa...Babuuuuuuuuuu,
Kuingia King bila kuliwa huwezi,
Je Kuingizwa king bila kuliwa?
...umeelewa swali??naona unashupaza shingo kuubishia ukweli,kuna firce king inatokea bila kulana...embu acheni ubabaishaji basi
ha ha ha ha ha kuingizwa king bila kuliwa inawezekanaaaaBabuuuuuuuuuu,
Kuingia King bila kuliwa huwezi,
Je Kuingizwa king bila kuliwa?
Inawezekana mkuu lile la mbananoDuu nimekaa Na draft hapa nimeangalia sana lkn haiwezekan mpinzani asile hata 1 kabla ya we kufika kingi maana hutapata njia
Hiki kitu katika draft hakiwezekani bro, huwezi fika kingi bila Mpinzani wako kula kete hata Mojae itakuaje endapo utafika king halafu mpinzani wako hana/hajala kete hata moja ya kukuvalisha hiyo king nawakati huo unataka kuitumia hiyo king?
Mi navyojua hii inatokeaga pale mnapoxheza game ya kubanana na kwa game ya uchoyo yaani kunyimana kula.. so inafika mahali kete zako zote za moto kila unayompa anakupiga hadi king hapo ndo game inapoisha coz unakuwa huna ya kumvesha.. japo hutokea mara chache sanaTena Force King ndio haiwezekani,
Maana lazima umpe yeye ale kete yako ili umvute kwenye 18 zako ndio umkule mpaka King.
Hivi ki ualisia tu kila mtu ana kete zake 12 zilizokaa upande wake, mtapishana pishana vipi mpaka ufike King bila kulana aisee? Labda nikuulize swali, unasema inawezekana wewe kutoliwa mpaka ukafika king, je na yeye atakua pia hajaliwa?
Njia nyingine ni kumtega aingie king then uiue king yake, sasa ile anaingia king wewe unakuwa huna kete ya kumvisha unakuwa ushapigwa hapo..umemaliza huwezi kufika kingi bila mtu kula kete labda kete zako ziwe na mabawa
Mkuu vipi unaniangisha fundi, uwezekano upo.. si ile unamuingiza kingi ili baadae uiue king yake, so vile ameingia king tayari wew unakuwa huna kete ya kumvesha ndo unakuwa ushapigwa hivyoSio uwezekano ni mdogo, bali haupo kabisa.