PAKASHUME JOHN
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 303
- 329
Habari za jioni hii wadau,mie ni mchizi Fulani nimekulia magomeni makuti na mwananyamala ila kwa sasa nipo naishi kikazi mkoani Kilimanjaro,
Enzi za udogo wangu kipindi cha sikukuu tulikua tunakwenda kucheza michezo mbalimbali kwenye viwanja vya umma ikiwemo bembea ila nilikuwa napenda kolokolo(dice) ila dhamira yangu kuu unataka nianzishe huo mchezo huku nilipo isipokuwa naomba kujuzwa kama mdau anajua kuwa naweza kupata wapi zile kete(DICES) kwa hapa Moshi au Arusha au hata Dar
Natumaini wazoefu mmenielewa
Enzi za udogo wangu kipindi cha sikukuu tulikua tunakwenda kucheza michezo mbalimbali kwenye viwanja vya umma ikiwemo bembea ila nilikuwa napenda kolokolo(dice) ila dhamira yangu kuu unataka nianzishe huo mchezo huku nilipo isipokuwa naomba kujuzwa kama mdau anajua kuwa naweza kupata wapi zile kete(DICES) kwa hapa Moshi au Arusha au hata Dar
Natumaini wazoefu mmenielewa