Tehe namkumbuka power mabula alikuja 1980 nikiwa sumbawanga, basi alipasua jiwe kifuani, akavuta gari kwa meno, akazuia pikipiki mbili zisiende kwa mkono wake halafu kwa mbwembwe akafungua fanta akapiga pafu moja akasukutua akatema, duh uwanja mzima watu ayaaaaaa maana wakati ule hiyo fanta kuipata ilikuwa adimu sanaa. TX Chaka nishamuona akipambana na vuru mroma ila sijui wameishia wapi hawa jamaaa.