Mchezo wa Ngumi Tanzania ni wa kimchongo

Mchezo wa Ngumi Tanzania ni wa kimchongo

Kakumamoto

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2015
Posts
1,237
Reaction score
1,696
Mambo vipi WanaJf na wapenzi wa ndondi kwa ujumla. Hoja yangu ni kwamba mchezo wa Ngumi Tanzania au bongo ni wa Kimchongo sana, sioni maendeleo yoyote ya Ngumi zaidi ya kumtumia Mandonga kuuhadaa wapenzi wa Ngumi. Mapambano yenyewe ya Mandonga ndio yanayobeba event nzima ya siku.

Anapambanishwa na mabondia waliochoka, wazee na wasio na uwezo tena na boxing. Ni kwamba mapromota wakishaona hawana kitu wanamtafutia Mandonga fight ili wapate hela. Mapambano ya Mandonga mengi ni ya kipuuzi tu, hayana mpango wowote na maendeleo ya Ngumi zaidi ya kumtumia kupiga hela.

Itatuchukua miaka mingi ijayo kuwampata bondia kama Mwakinyo atuwakilishe. Mandonga anatumika kibiashara tu, ndio maana anapambanishwa na mabondia wa hovyo hovyo tu. Ngumi zetu ni za Kimchongo.
 
Mambo vipi WanaJf na wapenzi wa ndondi kwa ujumla. Hoja yangu ni kwamba mchezo wa Ngumi Tanzania au bongo ni wa Kimchongo sana, sioni maendeleo yoyote ya Ngumi zaidi ya kumtumia Mandonga kuuhadaa wapenzi wa Ngumi. Mapambano yenyewe ya Mandonga ndio yanayobeba event nzima ya siku.

Anapambanishwa na mabondia waliochoka, wazee na wasio na uwezo tena na boxing. Ni kwamba mapromota wakishaona hawana kitu wanamtafutia Mandonga fight ili wapate hela. Mapambano ya Mandonga mengi ni ya kipuuzi tu, hayana mpango wowote na maendeleo ya Ngumi zaidi ya kumtumia kupiga hela.

Itatuchukua miaka mingi ijayo kuwampata bondia kama Mwakinyo atuwakilishe. Mandonga anatumika kibiashara tu, ndio maana anapambanishwa na mabondia wa hovyo hovyo tu. Ngumi zetu ni za Kimchongo.
Mandonga ana miaka 38+ ulitaka apambane na watoto wa miaka 20 wamuue?
Halafu unaweza kuandaa pambano lako la ngumi tuone hao mabondia unaowataka wewe
 
Mandonga ana miaka 38+ ulitaka apambane na watoto wa miaka 20 wamuue?
Halafu unaweza kuandaa pambano lako la ngumi tuone hao mabondia unaowataka wewe
Mapromota wakiishiwa wanamtafutia Mandonga pambano kwa lazima ili wapige hela. Washajua mashabiki wa ndondi mang'ombe tu, wao wanataka wamuone Mandonga tu. Ndio maana nasema hizi fight sio ili kuendeleza ndondi ni mchongo tu watu wapige hela. Sasa kama yule Mzee wa jana snapigana na Mandonga si upumbafu kabisa
 
Mapromota wakiishiwa wanamtafutia Mandonga pambano kwa lazima ili wapige hela. Washajua mashabiki wa ndondi mang'ombe tu, wao wanataka wamuone Mandonga tu. Ndio maana nasema hizi fight sio ili kuendeleza ndondi ni mchongo tu watu wapige hela. Sasa kama yule Mzee wa jana snapigana na Mandonga si upumbafu kabisa
😂😂😂😂😂 Kwanza Mrombo toka lini akaweza kupigana ngumi? Huku Moshi warombo na wakirua ndio wachaga waoga zaidi. Nilishangaa sana kumuona yule Tarimo akippigana na Mandonga
 
😂😂😂😂😂 Kwanza Mrombo toka lini akaweza kupigana ngumi? Huku Moshi warombo na wakirua ndio wachaga waoga zaidi. Nilishangaa sana kumuona yule Tarimo akippigana na Mandonga
Mambo yakipumbafu kabisa
 
Mambo vipi WanaJf na wapenzi wa ndondi kwa ujumla. Hoja yangu ni kwamba mchezo wa Ngumi Tanzania au bongo ni wa Kimchongo sana, sioni maendeleo yoyote ya Ngumi zaidi ya kumtumia Mandonga kuuhadaa wapenzi wa Ngumi. Mapambano yenyewe ya Mandonga ndio yanayobeba event nzima ya siku.

Anapambanishwa na mabondia waliochoka, wazee na wasio na uwezo tena na boxing. Ni kwamba mapromota wakishaona hawana kitu wanamtafutia Mandonga fight ili wapate hela. Mapambano ya Mandonga mengi ni ya kipuuzi tu, hayana mpango wowote na maendeleo ya Ngumi zaidi ya kumtumia kupiga hela.

Itatuchukua miaka mingi ijayo kuwampata bondia kama Mwakinyo atuwakilishe. Mandonga anatumika kibiashara tu, ndio maana anapambanishwa na mabondia wa hovyo hovyo tu. Ngumi zetu ni za Kimchongo.
Acha roho mbaya, ulitaka yule Mzee wa kichaga tarimo akose hata Hela ya kununulia wajukuu chakula Cha KRISMAS?
 
Acha roho mbaya, ulitaka yule Mzee wa kichaga tarimo akose hata Hela ya kununulia wajukuu chakula Cha KRISMAS?
Si ndio maana nasema huyu Mandonga ni mchongo wa watu na hakuna suala la kuendeleza Ngumi!
 
Kapambane wewe bloangu
Mimi sio boxer, lakini huu mchezo haufiki popote kwa upumbafu huu, tutaendelea kusiafia upuuzi tu lakini maboxer wetu hataleta medali yoyote kimataifa. Wabongo tunapenda upuuzi ili tujichekeshe kama machizi.
 
Mambo vipi WanaJf na wapenzi wa ndondi kwa ujumla. Hoja yangu ni kwamba mchezo wa Ngumi Tanzania au bongo ni wa Kimchongo sana, sioni maendeleo yoyote ya Ngumi zaidi ya kumtumia Mandonga kuuhadaa wapenzi wa Ngumi. Mapambano yenyewe ya Mandonga ndio yanayobeba event nzima ya siku.

Anapambanishwa na mabondia waliochoka, wazee na wasio na uwezo tena na boxing. Ni kwamba mapromota wakishaona hawana kitu wanamtafutia Mandonga fight ili wapate hela. Mapambano ya Mandonga mengi ni ya kipuuzi tu, hayana mpango wowote na maendeleo ya Ngumi zaidi ya kumtumia kupiga hela.

Itatuchukua miaka mingi ijayo kuwampata bondia kama Mwakinyo atuwakilishe. Mandonga anatumika kibiashara tu, ndio maana anapambanishwa na mabondia wa hovyo hovyo tu. Ngumi zetu ni za Kimchongo.
Tangu gsm wampe mandonga kadi ya utopolo nilijua hawezi kushindwa tena pambano la ndani na akishindwa ni kwa sababu makampuni ya kubet yanataka tu hela.

Gsm wanataka kufanya kila kitu maigizo

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom