Mchezo wa Simba waanza na mkosi wa Redcard.

Mchezo wa Simba waanza na mkosi wa Redcard.

hiyo ndo simba bwana.............................we acha tu........
 
Kudadadeeek Simba!
Sijui nilieeeee !!!
Wazee wa kuzomea mupooo?! Mtazomea sana mwaka huu,huku viroho vinawauma.
 
Kudadadeeek Simba!
Sijui nilieeeee !!!
Wazee wa kuzomea mupooo?! Mtazomea sana mwaka huu,huku viroho vinawauma.

Sio kuzomea tu . Watajaza sanduku/kabati kwa kununua jezi za timu pinzani kwenye mashndano haya.
 
Aliimba banza stone miaka ile Aungurumapo Simba mcheza nani?????????????????????????????????????????????????????????????
Hongereni sana Simba wawakilishi pekee wa Tanzania kazi nzuri we are proud of you guys,Much respect to Emanuel Okwi
 
Back
Top Bottom