MCHEZO WA TIMU YETU LEO KUNA MATUMAINI

MCHEZO WA TIMU YETU LEO KUNA MATUMAINI

Chunya Boy

New Member
Joined
Nov 18, 2018
Posts
4
Reaction score
2
Ndugu zangu Wadau wa soka nchini Tanzania na wapenzi wa timu yetu ya Taifa kwa namna mlivyouona mchezo ule kati yetu na Walethoto kuna uwezekano wa kusonga mbele?
Mimi Nina hofu ukizingatia mpaka sasa tuna points 5 na anayeongoza kundi ambaye ni jirani yetu Uganda anapointi 13.
Kama kuna wabobevu wa masuala ya soka naomba ufafanuzi hapa.
FB_IMG_1542557894616.jpeg
 
Back
Top Bottom