Mchezo wa Yanga vs Mtibwa, wachezaji wawili wa Mtibwa walionyeshwa kadi nyekundu

Je ....unakumbuka kama ulikuweko nyakati hizo...timu ya Mwadui ilipoondolewa uwanjani na kupelekwa airport moja kwa moja kwa amri ya Mzee Karume baada ya Mwadui kucheza rafu mbaya saana uwanjani Amani ....Prosper Mboya akiwa beki wa Mwadui.
 
Tatizo la watu wa matopeni wanashindwa kutofautisha kalet zile wanazocheza wachina na mpira wa miguu
 
NA WAARABU WALIPATA RED?
 
NA WAARABU WALIPATA RED?
Unafikiri waarabu wanacheza mpira wa kijinga kama michezaji yenu akina Banda!!! Wao wanasonga kwa nidhamu sio kama hao mabeki wenu mnaowaambia kuwa leo wewe tembea na Ngoma kila atakakoenda. Matokeo yake wanacheza rafu za kijinga ili kocha wake amuone amepiga kazi.
 
Inahitaji moyo wa mwendawazimu kujibu hoja za wa matopeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…