Kuna mwana yupo kule anasema kwenye huo mgodi kuna raia wamekula mil 200 wengine mil 70- mil 150 yaani waliokuwepo huko chini hakuna aliyetoka mtupu kila mmoja kapiga pande yake.Appolo wamepiga pesa sana pia kuna mawe madogodogo ndogo nzima ambayo kithamani yanazidi hizo kilo 9,serikali imechukua hayo makubwa tu
Kabisa mzigo umetoka kama wiki kadhaa watu wamepata na brokers wadogo nao wamepata shida bei iko chini sana zamani unapata gram 100 unapiga pesa ya maanaKuna mwana yupo kule anasema kwenye huo mgodi kuna raia wamekula mil 200 wengine mil 70- mil 150 yaani waliokuwepo huko chini hakuna aliyetoka mtupu kila mmoja kapiga pande yake.
Hawa vijana hawamjui laiza vizuri wanajua alikuwa masikini sasa ndo ametajirika... Jamaa yupo vizuri tangu enziSasa mtu anafilisikaje ikiwa kaanza shika pesa miaka ya 2000 uko kama anauwezo wakulisha watu 400 kila mwezi na kila siku ya mwaka unaisi anatumia pesa ngapi?
Unajua anamigodi mingapi uyo si mwana apolo yeye shimoni haingi kabisa yeye nikutoa huduma wanaleta mzigo na wanalipwa pesa izo bilion haja anza zishika leo ata iyo Mall anayosema anataka jenga sio ajaanza jenga ameanza jenga kitambo, ana Hotel apo Chuga Maika na miradi kibao kati ya Mazimba wa Arusha wanaotokea kwenye Tanzanite uyu Mzee yupo , kumbuka kapevuka uyo so hana ulimbukeni eti sijui wa kuendekeza starehe unavyo muona ndio ivyo ivyo na mashuka yake, maskio katoboa, na shanga mkononi haachi asili shule ajaenda ila wanajifunza lugha mbili tu, kiswahili na English kwa ajili ya mawasiliano only that
Kuna Mzee hapo juu anaitwa mng'eto nasikia na yeye kapata.Kabisa mzigo umetoka kama wiki kadhaa watu wamepata na brokers wadogo nao wamepata shida bei iko chini sana zamani unapata gram 100 unapiga pesa ya maana
Huo mgodi uko mbali na mgodi nlipoKuna Mzee hapo juu anaitwa mng'eto nasikia na yeye kapata.
Hayo sio mawe ya kwanza kwa Laizer, Laizer ni Bilionea kabla ya hayo mawe.Watu wanamshobokea pesa zake za kawaida na atafirisika tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We hata kuandika hujui ...unamuombea mwenzanko afisilike ... kwa taarifa tu ni kwamba 7B si kitu kwa Laizer ... Nyie mnashangaa 7B but Key issue kwnye hili ni Ukubwa wa Jiwe... Laizer ana more than 50B hapo alipo
Sent using Jamii Forums mobile app
WowMkuu, upo sawa kabsa! jana nlsema hapa jf kuwa hako kahela alopata laizer wala hakamstui, huyu jamaa ni meli atar anayohela mingi aseee, kama ni hizo B amekuwa nazo toka miaka hyo ya akina Msuya...... kwa mazmba wa pale Mererani ukimtoa Abillah yeye ndo anafuata, boma yake iko leisinyai way to kambi ya chokaa, kuna kpnd alipga hela kanunua LX 11 mpaka mpsh wake mgodn anatumia moja kwa aajili ya kufuatia viungo na vitu vidogo vidogo, make unga na mchele huwa vnapelekwa na canter.
Ndomana ctak kuhama tz xaxa ww utak 2pge ha2a bwn hata kama n uungooo wacha wawekezaj wajee wa bongo bwnHabari wakuu,
Itapendeza kama huu uzi hautaunganishwa na uzi mwingine kisha kugeuzwa kuwa post.
Ninaona hili suala la Mmasai Leizer kupata madini 2 ya Tanzanite yenye thamani kubwa ya 7.8 billions ni kama propaganda fulani hivi.
Huenda ikawa ni white propaganda ya kuwaita wawekezaji wa nje au wa ndani kwenda kuwekeza kule Mererani.
Au ni propaganda yenye lengo fulani ambalo sisi hatulifahamu.
Anayemfahamu au kumjua vizuri Mr. Leizer atupe short of his life, maana isije ikawa ni mtu wa kitengo.
Huo wivu wako si wa dunia hiiWatu wanamshobokea pesa zake za kawaida na atafirisika tu
Nonsense!!Ndomana ctak kuhama tz xaxa ww utak 2pge ha2a bwn hata kama n uungooo wacha wawekezaj wajee wa bongo bwn