Mchina aweka wazi kwamba Uganda na Rwanda lazima watii ili wapate mkopo

Mchina aweka wazi kwamba Uganda na Rwanda lazima watii ili wapate mkopo

Angalia siku zote nikileta habari hata iwe ya omba omba huwa lazima imetokana na mimi kuhusika kwenye mjadala kwa kuandika na kuonyesha uelewa wangu wa kile tunachokijadili.
Huwa siingii kwenye mada na kuanza kucopy/paste vitu hata bila kujua nini kinajadiliwa humo, maana watu watanipuuza na kuendelea na wanachokijadili, hamna kitu huuma kama kupuuzwa huku watu wakiendelea na mjadala.

Kuna kupuuza na kushindwa hoja, wewe ukianza vijembe na kejeli kuhusu Tanzania ujue thread yako haiwezi kuwa salama tena. Ulianza kuchafua hali ya hewa mwenyewe kwa hiyo dawa yako inakuwa ni kuichafua thread yako. Malengo ya kuichafua hii thread yamefikiwa kwa 100%.

Angalia post yako #4 ndio siku nyingine ujifunze kuwa mstaarabu kabla ya kutaka kuheshimiwa.
 
Kuna kupuuza na kushindwa hoja, wewe ukianza vijembe na kejeli kuhusu Tanzania ujue thread yako haiwezi kuwa salama tena. Ulianza kuchafua hali ya hewa mwenyewe kwa hiyo dawa yako inakuwa ni kuichafua thread yako. Malengo ya kuichafua hii thread yamefikiwa kwa 100%.

Angalia post yako #4 ndio siku nyingine ujifunze kuwa mstaarabu kabla ya kutaka kuheshimiwa.

Aha ndio maana nikakwambia hutaweza kuelewa, ukiandika hoja kwa maneno yako watu hawawezi kukupuuza angalia hilo bango walio like wengi ni Watanzania maana huu ni mtandao wa kijamii wa kimataifa watu wanajadili. Ukiishia kukusanya vitu vya kuokoteza na kuzipaste humu watu wanakupuuza na kukupita.
Haya Kwaheri.
 
This growth?

Dude you are really daft if this is the best you could come up with i have seen how you have tried to use it and i rest my case you really need alot of catching up to do.
 
The aristocratic class that owns huge tracts of land in Kenya
  • Published on June 26, 2016
Laikipia Plateau, estimated to be about 10,000 sq km or 2.5 million acres, has the biggest number of white landowners. It stretches from Mt Kenya in the east to the Rift Valley in the west. The Laikipia Maasai, who number approximately 35,000, are squashed on different patches of land, which measure about 1100 sq km or an equivalent of 281,587 acres of land.

On the other hand, foreigners comprising mostly the British and American "aristocratic" class and a few influential local politically well-connected barons, occupy thousands of acres of land on an individual basis. Only 20 own 74 per cent of the total land in the Laikipia District. In the Laikipia Plateau, private ranches range from "small" concerns of 5,000 acres to endless horizons of massive land properties that are over 100,000 acres. There are approximately 36 estates. Two of the 18 estates are owned by multi-millionaire Hollywood A-list types who entertain tourist guests. Many of the private farms and ranches are today being converted to wildlife sanctuaries.

Ol Ari Nyiro Ranch

Italian Baroness and socialite, Kuki Gallman, who owns 100,000 acres (L/R No. 8049), is one of the big landowners in the district. It is known as Ol Ari Nyiro Ranch or Laikipia Ranch (Ol Ari Nyiro in the Maasai language means the place of dark waters). Kuki and her second husband Paolo Gallman bought the ranch in 1974. After the death of Paolo and her son Emmanuel in 1980 and 1983 respectively, Kuki transformed the property into a reserve, providing a wildlife sanctuary in 1984. Her husband was killed in a car accident, while transporting a cot for their unborn baby. Three years later, tragedy struck again and Kuki’s 17-year-old son was killed by a poisonous snake as he tried to extract venom from it.

At one time, Ol Ari Nyiro Ranch used to have the largest available number of wildlife, including the endangered species of black rhino and the rare beautiful Grevy Zebra. Out of the 100,000 acres, 2,000 have been set aside for leasing to sedentary individuals who use the land for cultivation.

Ol Pejeta Ranch

After Kuki’s "little country", the other huge chunk of land is the Ol-Pejeta Ranch, a 92,000-acre private concern that was formerly owned by the LONRHO Group. Located between Mt Kenya and the Aberdare Ranges, the Ol-Pejeta also straddles the Equator. The largest chunk of the land – 63,000 acres — has been left to rearing of cattle and sheep. There are 8,000 head of cattle that have been split into 86 huge paddocks and 4,000 sheep.

Game sanctuary

Another 24,000 acres have been preserved as a game sanctuary called the Sweet Waters Game Reserve. In essence, the ranch just leaves a paltry "3,590" acres to be leased (with agreement) for wheat farming. Originally part of the Maasai homeland, it was acquired by Lord Delamere in the early part of the 20th century and his partner Marcus Wickham Byanton.

Ol-Pejeta has interesting and chequered history. After Lord Delamere’s ownership, the ranch was acquired by Christina Onassis’ father-in-law, Henri Roussel. The Roussel family comes from the French bourgeoisie class that has huge investments in the pharmaceutical industry. His son, Thierry, was married to Christina, until she died in 1988. The late Christina was the only daughter of the late Greek shipping magnate, Aristotle Onassis, one time the richest man in the world.

But it is Adnan Khashoggi, the Saudi-born international "playboy" and former billionaire arms dealer, who transformed the ranch into an entertainment arena, giving it notorious prominence. In his heyday, Khashoggi used the ranch as his hideaway and getaway from international business deals.

Ol Pejeta ranch is registered as nine pieces — possibly because of changing ownership and because of gradually growing in size over the years. They are Nos. 10323, 10068 (whose original number was 5116/2), 6301/2, 5160/2, 2618/2, 2582, 2564, 6367 and 2561.

https://www.linkedin.com/pulse/aristocratic-class-owns-huge-tracts-land-kenya-edith-makena-mbwiria
So Laikipia county is the whole of Kenya. They own big tracts of land in predominantly in one county.
And Kenya is a capitalist state, they bought the land, some inherited it. Am not saying we don't have land problems in Kenya infact it is the most divisive to date since independence. But people own land, and wealth. The rich obviously more than other people, but it is the same situation in every country. And it is logical, you are rich you own more, What I don't agree with is that its only the politicians who are rich. The families you mentioned are very rcih, but they don't own 50% of land or Kenya's wealth. The richest Kenyans are not even politicians. They have more money than most, but it is just that.
The rich in Kenya are some politicians, some doctors, some teachers, some lawyers, some engineers, some architects, some pastors.
 
nimesoma mijadala kwa umakini sana, ninachoweza kusema ni kwamba, hata sisi TZ tupo makini, hatujalala. komaeni muwavute uganda na rwanda, ila pia mtambue hata sisi tunafight. (rejea bomba la mafuta). sisi hufukuza mwizi kimyakimya na kwa umakini.
 
Tanzania ni kweli tunaibiwa lkn tofauti ni kwamba tunajua na sasa hivi tunalifanyia kazi, sasa hivi nchi nzima tunajadili khs Rasilimali zetu kuibiwa na kutafuta suluhisho lkn Kenya hkn kitu kama hicho, hkn anayejua chochote, ukiondoa maelite wachache!

Pia tofauti kati ya Tanzania na nchi nyingine za Afrika, hkn mtu private anayeweza kuown ardhi yetu least maana ardhi yetu inamilikiwa na Serikali yetu kwa niaba yetu, lkn Kenya huwezi jua labda British monarchy owned the whole of Kenya, who knows?
Delusional tanzanians.Did you know over half of Kenya is community land?ya thats a fact just at your door step magadi,ngurumani edges of maasai mara upto from isiolo upwards to the border with south sudan ethiopia and somalia where is this assertion that kenya land is foreign owned i dont know who fed you that crap.
 
Uzuri hivyo vyote ni vya Kenya wala hatuongopi. Kenya mti wenye matunda??? 😀😀😀😀😀


Aisee ndugu video inatia huruma saaana kweli kweli
Daah vjana kama hao wenye nguvu wanakula jalalani. Kweli kwenye hii dunia hakuna usawa kabisa.
Lakini nimependa kitu kimoja hao wanafunzi nguo zao ni white na safi saana japo wana shida kemkem na hiyo tuu inaonyesha vp wanapenda shule.
 
The aristocratic class that owns huge tracts of land in Kenya
  • Published on June 26, 2016
Laikipia Plateau, estimated to be about 10,000 sq km or 2.5 million acres, has the biggest number of white landowners. It stretches from Mt Kenya in the east to the Rift Valley in the west. The Laikipia Maasai, who number approximately 35,000, are squashed on different patches of land, which measure about 1100 sq km or an equivalent of 281,587 acres of land.

On the other hand, foreigners comprising mostly the British and American "aristocratic" class and a few influential local politically well-connected barons, occupy thousands of acres of land on an individual basis. Only 20 own 74 per cent of the total land in the Laikipia District. In the Laikipia Plateau, private ranches range from "small" concerns of 5,000 acres to endless horizons of massive land properties that are over 100,000 acres. There are approximately 36 estates. Two of the 18 estates are owned by multi-millionaire Hollywood A-list types who entertain tourist guests. Many of the private farms and ranches are today being converted to wildlife sanctuaries.

Ol Ari Nyiro Ranch

Italian Baroness and socialite, Kuki Gallman, who owns 100,000 acres (L/R No. 8049), is one of the big landowners in the district. It is known as Ol Ari Nyiro Ranch or Laikipia Ranch (Ol Ari Nyiro in the Maasai language means the place of dark waters). Kuki and her second husband Paolo Gallman bought the ranch in 1974. After the death of Paolo and her son Emmanuel in 1980 and 1983 respectively, Kuki transformed the property into a reserve, providing a wildlife sanctuary in 1984. Her husband was killed in a car accident, while transporting a cot for their unborn baby. Three years later, tragedy struck again and Kuki’s 17-year-old son was killed by a poisonous snake as he tried to extract venom from it.

At one time, Ol Ari Nyiro Ranch used to have the largest available number of wildlife, including the endangered species of black rhino and the rare beautiful Grevy Zebra. Out of the 100,000 acres, 2,000 have been set aside for leasing to sedentary individuals who use the land for cultivation.

Ol Pejeta Ranch

After Kuki’s "little country", the other huge chunk of land is the Ol-Pejeta Ranch, a 92,000-acre private concern that was formerly owned by the LONRHO Group. Located between Mt Kenya and the Aberdare Ranges, the Ol-Pejeta also straddles the Equator. The largest chunk of the land – 63,000 acres — has been left to rearing of cattle and sheep. There are 8,000 head of cattle that have been split into 86 huge paddocks and 4,000 sheep.

Game sanctuary

Another 24,000 acres have been preserved as a game sanctuary called the Sweet Waters Game Reserve. In essence, the ranch just leaves a paltry "3,590" acres to be leased (with agreement) for wheat farming. Originally part of the Maasai homeland, it was acquired by Lord Delamere in the early part of the 20th century and his partner Marcus Wickham Byanton.

Ol-Pejeta has interesting and chequered history. After Lord Delamere’s ownership, the ranch was acquired by Christina Onassis’ father-in-law, Henri Roussel. The Roussel family comes from the French bourgeoisie class that has huge investments in the pharmaceutical industry. His son, Thierry, was married to Christina, until she died in 1988. The late Christina was the only daughter of the late Greek shipping magnate, Aristotle Onassis, one time the richest man in the world.

But it is Adnan Khashoggi, the Saudi-born international "playboy" and former billionaire arms dealer, who transformed the ranch into an entertainment arena, giving it notorious prominence. In his heyday, Khashoggi used the ranch as his hideaway and getaway from international business deals.

Ol Pejeta ranch is registered as nine pieces — possibly because of changing ownership and because of gradually growing in size over the years. They are Nos. 10323, 10068 (whose original number was 5116/2), 6301/2, 5160/2, 2618/2, 2582, 2564, 6367 and 2561.

https://www.linkedin.com/pulse/aristocratic-class-owns-huge-tracts-land-kenya-edith-makena-mbwiria
Aisee umenikumbusha my star adnan khashoggi
Huyo mtu ni balaa mpaka ametungiwa kitabu na mziki.
 
Lazima ukubali kuliwa ili ule, hilo lipo tena kwa mataifa yote ya dunia, tatizo ni pale unaliwa hadi mifupa kama jinsi nyie huliwa kwenye shamba hilo la bibi. Nchi mna kila kitu madini zaidi ya mataifa yote Afrika, ardhi kubwa, vivutio bora zaidi ya mataifa bora Afrika, kwanza mpo nchi mbili ndani ya muungano yaani orodha ni ndefu ya kila sababu za nyie kuongoza Afrika kiuchumi na kila kitu, lakini mnatajwa kwenye orodha ya mataifa maskini wa kutupwa Afrika.

Leo hii baada ya zaidi ya miaka hamsini ya uhuru ndio mnagundua eti mnaliwa kwenye mchanga wa dhahabu, aisei tatizo lenu mna uzembe wa kusoma, hampendi kusoma kabisa hivyo inabidi mpigwe chenga kwenye mikataba, Kingereza huwa kinawapa chenga pia. Ukitaka Mtanzania atie saini chochote mpe mkataba ulioandkwa kwa kingereza chenye misamiati na maneno mengi, ataishia kuuliza wapi pa kutia saini, basi.

Mnafaa kwanza mnajifungia ndani na hiyo mikataba, mnasoma neno kwa neno, herufi kwa herufi kabla ya kutia saini. Bure mtaliwa hadi muikimbie nchi. Nyerere naskia alizuia madini yasiondoke hadi pale mtakua na elimu ya kutosha, sasa leo hii mnajinadi kuwa na elimu lakini mnaliwa balaa.
Mkuu walioweka saini ktk mikataba mibovu sio kwamba hawajui kiingereza bali ni wabinafsi, wezi, wala rushwa. Utasema Chenge hajui kiingereza alifikaje Harvard University? Huyu ndio alikuwa mwanasheria mkuu wa serikali kipindi mikataba mingi mibovu ya kifisadi ikiingiwa. Tatizo ni selfishness.
 
Hakuna jipya zaidi ya ujinga mtupu. What's so special with Kenyans anyway ? Kuwa mtumwa mwaminifu - A loyal slave. Achaneni na ropo ropo na maneno meengi kama watu wa Arusha, as blacks we have got a long way to go.

- Ukiangalia wanaoshikilia uchumi wa Kenya, ukaangalia na maisha ya kawaida ya mkenya ni SIMANZI tupu, leo badala ya kukaa ukafirikia namna mtakavyoweza kujinanasua kwenye huo mkopo wa mchina, mko busy na propaganda zisizo na maana. Msipoangalia mnaelekea kutumia YUAN ili msamehewe deni. Pathetic
Huu wimbo wa " walioshikilia uchumi wa kenya" ni wa siku nyingi sana, na umehit sana Tanzania, mi naona Tusiongee tu ilikujifurahisha. Nadhani imefika hatua watajwe kwa majina hao walioshikilia uchumi wa Kenya ni kina nani na kwenye hizo $70 billioni, zao ni sh ngapi!
 
Huu wimbo wa " walioshikilia uchumi wa kenya" ni wa siku nyingi sana, na umehit sana Tanzania, mi naona Tusiongee tu ilikujifurahisha. Nadhani imefika hatua watajwe kwa majina hao walioshikilia uchumi wa Kenya ni kina nani na kwenye hizo $70 billioni, zao ni sh ngapi!
uko sawa hawa akina Kilam ambao wanawajua wazungu na wahindi wote pamoja na ardhi yote wanayomiliki hii kenya nzima waje na concrete data watounyeshe maana naona wanijua kenya sana kulilo sisi tuliozaliwa na kuishi kenya
 
Kaka kingereza ni muhimu sana na hauwezi kukikwepa, haswa kwa nchi zetu hizi ambazo tunaagiza hadi sindano. Kwenu hapo mikataba, sheria na stakabadhi nyeti zimeandikwa kwa kingereza. Hivyo mtakiponda kila uchao kwa dhana ya 'sizitaki mbichi' lakini kimewazunguka na kuwalea. Lazima mkubali kuikabili hii lugha ya mabwana zetu Afrika, maana ndio inatumika kuwatafuna kwenye mikataba.

Hilo la nyie kuwa na elimu halina mashiko ni 'neither here nor there' maana elimu hiyo kama hamuitumii kulinda vya kwenu, basi haina umuhimu. Nafuatilia mijadala yenu ya mchanga wa madini hadi nahisi kujificha chini ya meza kwa aibu, kama kweli mumekua mkiliwa miaka yote hii kijinga hivyo pamoja na elimu yenu hiyo ni aibu kubwa Afrika na sio kwenu tu.
Wenye elimu huitumia kwa maslahi ya nchi, wanahoji balaa, na kukatalia chochote kisichoendana na misimamo yao, hata kama watapitia kibano sio kusubiri hadi mtafunwe mifupa ndio mnaanza kukurupuka.

Soma taarifa za profesa Wangari Maathai ndio uelewe nini maana ya elimu.

Ngoja nikupe kubwa.
Hivi wachina wanajua kiingereza unachosema lazima mjue ndipo muingie mikataba au kusoma sheria.
Wachina hawajui kiingereza lkn wanafanya biashara pembe zote za dunia. Ila wanatamani watu wote wangeongea kichina. Na ndiyo maana wameanzisha taasisi yao ya confusious ili waeneze kichina dunia mzima.

English has nothing to do with the economic development and growth of any country. (That is your obsession in english language). If it could be so the Asian tigers, Emirates, Scandinavian, Sino and continental Europe could be less developed compared to Anglophones.

Halafu kuhusu kunyonywa na nchi za magharibi.
If you have ever read a book authored by a Caribbean scholar Walter Rodney you could understand what is taking place in the continent. Every Afrikan countryis robbed by whites. Kenya is not exceptional. That's why in Kenya till a moment you have the white settlers owning big pieces of land like Lord Dalamare (I don't know if the name is correct). Sometimes these settlers kill innocent Kenyans and give stupid execuse that they where thinking were pigs.

Sometimes unaonesha ujinga wako wa hali ya juu. Eti kule kwenye jukwaa la siasa unataka kujificha chini ya meza, huo ni ujuha... kwa nini hukujificha chini ya meza wakati yule mzungu alivyo mpiga risasi yule mkulima mnyonge mkenya na akadai ni nguruwe halafu akaachiwa na mahakama. Shame on you dude.
 
Kaka hata kama mumeanza kuliwa 1998 bado mumetafunwa sana, huko baada ya uhuru Nyerere aliwalinda maana aliamua madini yabaki ardhini hadi mtakapoamka.
Nimesoma taarifa ya kutatanisha sana kuhusu madini yenu, hebu checki hapa makala ya leo.
-----------------------------------------------------------------------------------------
  • A probe into the sector shows Acacia may be exporting 111.88 metric tonnes of gold annually from its two goldmines, Buzwagi and Bulyanhulu.
  • If 50 per cent of gold ores which contain copper and silver produce 111.88 tonnes, it means Buzwagi and Bulyanhulu might be producing 223 metric tonnes of gold a year, the highest in Africa.
  • China has been the leader in annual gold production, averaging 450 metric tonnes a year, followed by Australia with the capacity of 270 metric tonnes, according to 2016 data released by the World Gold Council.
  • In Africa the only country ranked, at position nine among the top 10 gold producers is South Africa, with an annual production capacity of 140 metric tonnes.
  • But Acacia’s chief executive officer Brad Gordon said that the company’s verified data shows that the 277 containers at Dar es Salaam port contain 26,000 ounces of gold in total.
The question of how much gold mining firms are taking out of Tanzania, and whether the country is getting its fair share of revenues, continued to draw divided opinion.

This after a committee appointed by President John Magufuli released a report with shocking findings.

To critics of the mining firms the committee, which found that the actual quantities of gold in gold-copper concentrate impounded in Dar es Salaam were way more than the declared figures, vindicates them for their long-held view that the firms are plundering the country’s vast mineral resources, thanks to the contracts signed during the second, third and fourth regimes.

However, those of a contrary view question the accuracy of the data and dismiss the “unending probes” into the industry as “political drama aimed at gaining political mileage ahead of the 2020 general election.”

For almost a decade, mining is one of the key sectors that shape politics and elections, especially in Lake Zone, which is the basket of almost 50 per cent of the votes.

Tanzania’s five major gold mines are located in Lake Victoria gold belt, in the Lake Zone.

Two probe committees formed by President Magufuli so far, bring the total number of probes since 2004 to seven.

Yet, seven probes and dozens of recommendations later, the controversy is far from over.

One man says he is prepared to write the new chapter by making foreign mining firms pay Tanzania its fair share of earnings from gold.

That man is President Magufuli, who is now waiting for the second report before making what he termed last week as further major decisions that would determine the future of country’s mining sector.



Leading gold producer

If the data presented by the committee chaired by the chief executive officer of Geological Survey of Tanzania, a government-owned agency, Prof Abdul Kadir Mruma is to be believed, then Tanzania could as well be among the leading gold producers in the world.

The committee established that each container of the 227 carried a minimum of 28.1 kilogrammes of gold. This makes a total of 7,800kg (7.8 tonnes) of gold. Acacia produces and exports an average of 4,000 containers a year, or 333 containers each month.

From the committee’s findings, it would mean Acacia exports 111.88 metric tonnes of gold annually from its two goldmines, Buzwagi and Bulyanhulu, located in Kahama Town, in the Lake Victoria gold belt.

In geological terms, this is equivalent to 1,500,000 ounces of gold valued at $1.89 billion a year, according to the current market price, which averages $1,260 per ounce.

Just how much gold does Tanzania have?
It is never too late, to do the right thing.
 
inferiority complex ni kitu kibaya sana...you cant argue with a person who is not at the same level as you wewe unatoa facts yeye ni kuleta ma picha na screen shots...wakishindwa na topic wanaleta picha za kibera ama ma screen shots za street children..tanzanians our 4th estate which is media is free and fair you can post anything or write about anything i was watching channel ten news walai ni kama kbc ya kenya kusifu serikali kila uchao alafu taarifa za kimataifa ya kenya wanatangaza stori za nyeri ati ooh mume ameua mke negative news..lakini as we know mti yenye matunda matamu ndio unarushiwa mawe sana
No body's throwing stones at ye, Hawa wa jamii forums ni wapinzani tu wa mitandaoni, lakini, You's the one throwing stones to Tz in this elections going on in your country, your government's accusing your opposition party of collaborating with Tz. That's some huge mistake y'all engaged you selves
 
Ngoja nikupe kubwa.
Hivi wachina wanajua kiingereza unachosema lazima mjue ndipo muingie mikataba au kusoma sheria.
Wachina hawajui kiingereza lkn wanafanya biashara pembe zote za dunia. Ila wanatamani watu wote wangeongea kichina. Na ndiyo maana wameanzisha taasisi yao ya confusious ili waeneze kichina dunia mzima.

English has nothing to do with the economic development and growth of any country. (That is your obsession in english language). If it could be so the Asian tigers, Emirates, Scandinavian, Sino and continental Europe could be less developed compared to Anglophones.

Halafu kuhusu kunyonywa na nchi za magharibi.
If you have ever read a book authored by a Caribbean scholar Walter Rodney you could understand what is taking place in the continent. Every Afrikan countryis robbed by whites. Kenya is not exceptional. That's why in Kenya till a moment you have the white settlers owning big pieces of land like Lord Dalamare (I don't know if the name is correct). Sometimes these settlers kill innocent Kenyans and give stupid execuse that they where thinking were pigs.

Sometimes unaonesha ujinga wako wa hali ya juu. Eti kule kwenye jukwaa la siasa unataka kujificha chini ya meza, huo ni ujuha... kwa nini hukujificha chini ya meza wakati yule mzungu alivyo mpiga risasi yule mkulima mnyonge mkenya na akadai ni nguruwe halafu akaachiwa na mahakama. Shame on you dude.
Shut up! you have no facts to support this dubious claims.....
 
Kaka kingereza ni muhimu sana na hauwezi kukikwepa, haswa kwa nchi zetu hizi ambazo tunaagiza hadi sindano. Kwenu hapo mikataba, sheria na stakabadhi nyeti zimeandikwa kwa kingereza. Hivyo mtakiponda kila uchao kwa dhana ya 'sizitaki mbichi' lakini kimewazunguka na kuwalea. Lazima mkubali kuikabili hii lugha ya mabwana zetu Afrika, maana ndio inatumika kuwatafuna kwenye mikataba.

Hilo la nyie kuwa na elimu halina mashiko ni 'neither here nor there' maana elimu hiyo kama hamuitumii kulinda vya kwenu, basi haina umuhimu. Nafuatilia mijadala yenu ya mchanga wa madini hadi nahisi kujificha chini ya meza kwa aibu, kama kweli mumekua mkiliwa miaka yote hii kijinga hivyo pamoja na elimu yenu hiyo ni aibu kubwa Afrika na sio kwenu tu.
Wenye elimu huitumia kwa maslahi ya nchi, wanahoji balaa, na kukatalia chochote kisichoendana na misimamo yao, hata kama watapitia kibano sio kusubiri hadi mtafunwe mifupa ndio mnaanza kukurupuka.

Soma taarifa za profesa Wangari Maathai ndio uelewe nini maana ya elimu.
Mkuu unavyojipambanua hapa utadhani Kenya ni Paradiso,
Wakati hapa tu tunaongea hata Reli hiyo Mchina kawapiga na hadi sasa anaendelea kuwapiga


Kweli nyani haoni Kundule.
 
kawaida ya mdanganyika...kuropokwa tu kila upande....Kenya haitakuwa nchi ya kwanza kuwa na deni wala haitakuwa ya mwisho...afadhali nchi inayopiga hatua ka deni kuliko nchi stagnant wanaokimbizana kila uchao na sijui kina Bashite...yaani mkatae kutawaliwa na vyama vya kikoloni ndio mkomae kisiasa na kiuchumi..sasa hivi chama cha KANU kenya kiko kwa coma kinasubiri tu kifo...
Hatua gani imepigwa wakati Wakenya wa Kawaida kama wewe hampati walau Chakula,

Yaani karne ya 21 you don't have the three basic needs (Food, Shelter na Clothes)
Hata hiyo GDP inachangiwa kwa sehemu kubwa na makampuni binafsi ya Kigeni, ndio maana karibu 60% ya GDP inakuwa generated Nairobi ambako kuna less than 10% Kenyans.
Pathetic.
 
Mkuu unavyojipambanua hapa utadhani Kenya ni Paradiso,
Wakati hapa tu tunaongea hata Reli hiyo Mchina kawapiga na hadi sasa anaendelea kuwapiga


Kweli nyani haoni Kundule.

Hehehe!! Huu wimbo wa sisi kupigwa mlikaririshwa mkaiva, hamtaki kujadili kiutaalam ili muonyeshe wapi tumepigwa, mshaufanya kama njia ya kujiliwaza, 'feel good mentality'. Ni kama kujipiga punyeto huku unawaza demu fulani star wa kweli mrembo, kwamba unahisi utamu ilhali sio tendo lenyewe la ndoa, unafanya ili kujiliwaza tu.
 
Back
Top Bottom