Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachina ni marafiki zetu na wanatupa misaada.Nimeona hii habari mtandaoni imenishangaza kama sio kosa la kiuandishi.Raia wa China amekutwa na kosa la kuua jumla ya tembo 511 wenye dhamani ya bilioni 7 amehukumiwa jela miezi mitano au kulipa faini ya laki tatu.
Kwa upande mwingine Mtanzania aliyekutwa na meno yenye dhamani ya milioni sitini na tisa kalambwa miaka 60
Wadau wa sheria tusaidieni hapa!
View attachment 2449142
Mafyatu pekee wataelewa mkuu,Ni mpumbavu tu, atakaye weza kuelewa huu uwozo. Sheria ni msumeno inatakiwa ikate pande zote.
Shida ni sisi kwa sisi hatupendani. Tunathamini wageni kuliko wazawa hakika hii ni Sheria kandamizi inapaswa kuangaliwa upya.
Sheria Duniani bali Haki Mbinguni
It's so sad kwa kweli.Mafyatu pekee wataelewa mkuu,
Anyway let black be black
Mkuu nadhani "unatuchora", maana nakumbuka uliwahi kukiri kuwa mlienda vilingeni usiku na Mchana kuzuia aliyekuwa anapigana kuondoa hivyo vijiko vitatu ili asali ifike chini kutoka juu moja kwa moja!!
Double standardMahakama ya Tz kama Tz..
Ussssssshuzi mtupu..
Substandard at it best
Raia wa kigeni wanalipa faini, polisi na hakimu. Mtz mwenzangu, hana pesa!Baadhi ya mahakama za Tanzania zinawapendelea sana wageni kuliko raia wake.
Soma hiyo habari chini utaona jinsi raia wa Tanzania wanavyo hukumiwa kifungo tofauti na raisa wanje ya Tanzania. Ni uonevu wa hali ya juu mahakama zetu.
View attachment 2449462
Raia wa nje wanalipa faini au wanatoa rushwa kwa vyombo husika?Huyo mchina amelitia hasara Taifa kwa gharama ya shilingi Billioni 7 Hakimu anamtoza Faini ya shilingi Millioni 50 na laki 3 iweje? Je Wakati huyo M-Tanzania Amekutwa na meno ya Tembo yenye Thamani ya shilingi Milioni 69.5. Amehukumiwa jela Miaka 60 hapo kweli kuna haki imetendeka ?Raia wa kigeni wanalipa faini, polisi na hakimu. Mtz mwenzangu, hana pesa!
Mamlaka husika zijitafakari na Mahakama ifanye kazi kwa weledi.Thamani ya tembo Ni billion 7 , halafu Hakimu au DPP anakubali fidia ya milioni 50,wapi na wapi.
Hapo hakuna fidia,bali hasara ya hizo bilioni.
Pili hukumu haisemi, hizo pembe za tembo kama zimetaifishwa au kuteketezwa.
DPP ana Mamlaka makubwa sana na ndiyo unapokuja umuhimu wa Katiba Mpya.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nimeona hii habari mtandaoni imenishangaza kama sio kosa la kiuandishi.Raia wa China amekutwa na kosa la kuua jumla ya tembo 511 wenye dhamani ya bilioni 7 amehukumiwa jela miezi mitano au kulipa faini ya laki tatu.
Kwa upande mwingine Mtanzania aliyekutwa na meno yenye dhamani ya milioni sitini na tisa kalambwa miaka 60
Wadau wa sheria tusaidieni hapa!
View attachment 2449142
Akikamatwa anapigwa miaka 60 na kazi ngumu iwe mfano kwa wengine alafu wanakandamizia kabisa kwamba alipaswa kuwa mzalendo kwa rasilimali za Taifa kwa maslahi mapana ya wananchi wote.na mfundisha mwanangu kuiba bilioni sio elfu kumi.ndio ccm inatufundisha maana ukiiba bilioni kesi yako inakuwa ya J4 wa mwanza