Mchina jela miezi mitano kwa kuua tembo 511, Mtanzania jela miaka 60 kwa kukutwa na meno ya tembo na kiboko

Hujamuona Nanyaro Ephata alipoileta hapa?
 
Hivi meli ya kinana iliyokamatwa na meno yake ya tembo kutoka kwenye uwindaji haramu ilipewa adhabu gani?
Ebu tukumbushane kidogo.
 
Kuna Raia wa CHINA amehukumiwa kulipa Faini Sh Mil.50 baada ya kuua Tembo 511 wenye thamani ya Tsh Bil.7 tena kwa MAKUBALIANO na DPP

Pia kuna mtanzania kakutwa na MENO ya Tembo yenye thamani ya Tsh.Mil.69 kafungwa Miaka 60 Jela. Kuna KESI ya CAG Iliyomkuta RAis Magufuli na Hatia ya KUKIUKA KATIBA ya NCHI kwa Kumfuza kazi CAG kinyume na KATIBA

Jambo la Ajabu Mwanasheria Mkuu wa Serikali anataka Kukata RUFAA dhidi ya Hukumu ya Rais MAGUFULI ya Kukiuka KATIBA wakati hata TIJA yake Kitaifa haipo .Binafsi ningempongeza Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Endapo angekata RUFAA kesi ya RAIA wa CHINA Aliyehukumiwa kulipa FAINI ya Tsh Mil.50 kwa Kuua TEMBO 511 na kukutwa na Meno yenye Thamani ya BIL.7 Kesi ambayo ina TIJA kwa TAIFA.

 
Mbele ya macho ya Sheria "status " inaamua uwekwe kundi lipi??
Sasa huoni huyo mchina alivyopewa adhabu ndogo kwa kosa kubwa na hao watanzania waliopewa adhabu kubwa kwa kosa dogo.
Unafikiri sababu ni nini labda?
Au yule mfanyabiashara wa Mwanza aliyeua watu 2 kisha akaachiwa huru unafikiri sababu ni nini?
 
Nchi imefunguliwa ndio wanavyosema, mtanzania amekuwa akikandamizwa kwenye nchi yake...
 
Wanakomaa na Sabaya utafikiri Osama.
 
Hao tembo Ni raia wa wapi bongo tembo huwezi ua kiasi hicho maana hawako hifadhi moja wote hao

Kwa hio tembo mzima million 13 tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…