secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Kwani wote waislam!!Mwezi Mtukufu halafu unalewa mchana !
Laana tullah !
Laana haina dini .Kwani wote waislam!!
Yaani mm na ukristu wangu ninywe beer! kwanza nipo nakunywa uniambie napata laana kisa ww upo kwenye mfungo!!!?Laana haina dini .
badala ya kwenda kumtoa mnalalama kwenye mitandao.kamtoeni mwenzenuYaani ccm imejaa majambazi.
Kwa hiyo mkikosea muachwe bila kushughulikiwa??Nchi inarndeshwa bila sheria ni ubabe ubabe tu
Endelea kulewa mchana wa Ramadhan uone motoYaani mm na ukristu wangu ninywe beer! kwanza nipo nakunywa uniambie napata laana kisa ww upo kwenye mfungo!!!?
wacha kufananisha papai na boga...
Ndio maendeleo wanayoyasema hayoNchi inarndeshwa bila sheria ni ubabe ubabe tu
Wameanza kukanusha filamu ya mdude madawa chademakwanza aliyekwambia kakamatwa na polisi nani? na aliyekwambia anashikkiliwa na polisi nani ? Aliyekwambia kasafirishwa kwenda dar es salaam nani?
chadema mumeanza michezo yenu michafu ya kujiteka na kuchafua serikali
anakanusha kijinga aeleze alipewa hizo hela mkononi au kwa simu? Haya huyu nae huwa analala na mdude chumba kimoja kitanda kimoja hadi ajue mdude hana mwanamke?Wameanza kukanusha filamu ya mdude madawa chademaView attachment 1451018
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo kuna gari imeandikwa "usipige picha"
Kupiga picha kitu cha mtu ni lazima mwenye nacho atoe ridhaa. Huwezi kuja kwangu upige picha kitu chochote bila mimi kukurusu. Hata kama ni chombo cha serikali mimi niliyekabidiwa lazima nitoe idhiniKwa hiyo kuna gari imeandikwa "usipige picha"
Ni sheria gani iliyotumika kama si ubabe ubabe tu
Mimi huwa nasimama pale Samora avenue napigaga picha magari hata hamsiniKupiga picha kitu cha mtu ni lazima mwenye nacho atoe ridhaa. Huwezi kuja kwangu upige picha kitu chochote bila mimi kukurusu. Hata kama ni chombo cha serikali mimi niliyekabidiwa lazima nitoe idhini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio akili zenu zilipo ishia matanga kuongea vitu ambavyo hata wewe ulikuwa mimba ndio ukazaliwa hebu tujaribu kuongea city vya maana to a hoja acha kejeli
Unauliza hapa jukwaani ndio mambo ya lissu badala ya kwenda polisi kuripoti anafuatiliwa anaripoti jukwaa la JF!