Mchomoa Betri Mzee Magoma asikilizwe tafadhali pamoja na kwamba tunamtishia Maisha na Kumroga pia

Mchomoa Betri Mzee Magoma asikilizwe tafadhali pamoja na kwamba tunamtishia Maisha na Kumroga pia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Inawezekana vipi katika Mauzo ya Jezi zetu Yanga SC inapata Shilingi 1,300/= tu kwa Jezi moja huku Jezi zikiwa zinauzwa kuanzia Shilingi 35,000/= hadi 40,000/= hapa Dar es Salaam ila huko Mikoani kote zinauzwa kuanzia 80,000/= hadi 100,000/=?

Tatizo tu ni kwamba Mafanikio ya Uwanjani yamewalevya vibaya hadi mmekubali Kuibiwa ili baadae muwe Masikini.
 
Ni aina ya watu ambao kwa kujiita kwao ma born town miaka nenda Rudi wamechangia kudumaza mpira wa tz huyu mzee na wengine wote wa tabia kama zake waondolewe uanachama
 
Back
Top Bottom