Shozylin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 341
- 699
Wakuu habari zenu.
Wale wazee wa kuchungulia fulsa naombeni tafadhali mnipe mwanga.
Mm ni kijana nipo mkoa wa dodoma, Nina cash ya sh 1 million Nina miliki page zenye followers zaid ya 60k zinazo jihusisha na michezo.
Akili yangu inanituma kua kupitia hawa wafuasi active nilio nao hawa pia wanaweza kua chanzo Cha kipato. Nataka kupingana na akili yangu kwa hoja zenye mashiko lakini nakosa Kama una hoja Basi ungana nami kupinga akili yangu kwenye comment.
Akili yangu bado inajaribu kuwaza Nawezaje kuanzisha mchezo wa bahati nasibu (kubashiri) mechi kupitia page zangu za michezo.? Hapa penyewe nataka wale ma great thinker waje tujadiri.
Akili yangu pia inanambia kua, naweza kutengeneza application mfano Kama ile ya baraka mpenja, Millard ayo ila nikikumbuka mtaji nilio nao naona kabisa hili linabaki kuwa wazo tu. Hapa penyewe nahitaji washauri waje tujadiri.
Karibuni.[emoji16]
Wale wazee wa kuchungulia fulsa naombeni tafadhali mnipe mwanga.
Mm ni kijana nipo mkoa wa dodoma, Nina cash ya sh 1 million Nina miliki page zenye followers zaid ya 60k zinazo jihusisha na michezo.
Akili yangu inanituma kua kupitia hawa wafuasi active nilio nao hawa pia wanaweza kua chanzo Cha kipato. Nataka kupingana na akili yangu kwa hoja zenye mashiko lakini nakosa Kama una hoja Basi ungana nami kupinga akili yangu kwenye comment.
Akili yangu bado inajaribu kuwaza Nawezaje kuanzisha mchezo wa bahati nasibu (kubashiri) mechi kupitia page zangu za michezo.? Hapa penyewe nataka wale ma great thinker waje tujadiri.
Akili yangu pia inanambia kua, naweza kutengeneza application mfano Kama ile ya baraka mpenja, Millard ayo ila nikikumbuka mtaji nilio nao naona kabisa hili linabaki kuwa wazo tu. Hapa penyewe nahitaji washauri waje tujadiri.
Karibuni.[emoji16]