Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuu unacho sema nisawa kabisa.Anza kuuza jezi tu , ila usijidanganye ukanunua accnt ambayo hukuanzisha wewe unaweza kununua accnt yenye followers wengi waliofata udaku na umbea we ukawaletea mambo ya biashara na mpira itakua unatwanga maji
Nakuja mkuuNjoo nikufanyie Designing ya App kwa bei rahisi then Developer ataikamilisha hiyo pesa inatosha
User tiali unao Utachofanya unawa Tap nakuwaingiza kwenye App yako
Kwenye App utapata pesa kwa Paying User na Ads za Kampuni
Check DM for more negotiation
Follower 60K ni sawa ila inategemea follower wako uliwapataje kama robot au walikifata kwa ajili ya contents na kadhalika we ndio unajua.Wakuu habari zenu.
Wale wazee wa kuchungulia fulsa naombeni tafadhali mnipe mwanga.
Mm ni kijana nipo mkoa wa dodoma, Nina cash ya sh 1 million Nina miliki page zenye followers zaid ya 60k zinazo jihusisha na michezo.
Akili yangu inanituma kua kupitia hawa wafuasi active nilio nao hawa pia wanaweza kua chanzo Cha kipato. Nataka kupingana na akili yangu kwa hoja zenye mashiko lakini nakosa Kama una hoja Basi ungana nami kupinga akili yangu kwenye comment.
Akili yangu bado inajaribu kuwaza Nawezaje kuanzisha mchezo wa bahati nasibu (kubashiri) mechi kupitia page zangu za michezo.? Hapa penyewe nataka wale ma great thinker waje tujadiri.
Akili yangu pia inanambia kua, naweza kutengeneza application mfano Kama ile ya baraka mpenja, Millard ayo ila nikikumbuka mtaji nilio nao naona kabisa hili linabaki kuwa wazo tu. Hapa penyewe nahitaji washauri waje tujadiri.
Karibuni.[emoji16]