Mchongo gani utanifaa, nina 1,000,000 cash nina page yenye followers 60k

Mchongo gani utanifaa, nina 1,000,000 cash nina page yenye followers 60k

Anza kuuza jezi tu , ila usijidanganye ukanunua accnt ambayo hukuanzisha wewe unaweza kununua accnt yenye followers wengi waliofata udaku na umbea we ukawaletea mambo ya biashara na mpira itakua unatwanga maji
 
Anza kuuza jezi tu , ila usijidanganye ukanunua accnt ambayo hukuanzisha wewe unaweza kununua accnt yenye followers wengi waliofata udaku na umbea we ukawaletea mambo ya biashara na mpira itakua unatwanga maji
Hakika mkuu unacho sema nisawa kabisa.

Bahati nzuri nimewaanzisha mimi
 
Njoo nikufanyie Designing ya App kwa bei rahisi then Developer ataikamilisha hiyo pesa inatosha

User tiali unao Utachofanya unawa Tap nakuwaingiza kwenye App yako

Kwenye App utapata pesa kwa Paying User na Ads za Kampuni

Check DM for more negotiation
Nakuja mkuu
 
Wakuu habari zenu.

Wale wazee wa kuchungulia fulsa naombeni tafadhali mnipe mwanga.

Mm ni kijana nipo mkoa wa dodoma, Nina cash ya sh 1 million Nina miliki page zenye followers zaid ya 60k zinazo jihusisha na michezo.

Akili yangu inanituma kua kupitia hawa wafuasi active nilio nao hawa pia wanaweza kua chanzo Cha kipato. Nataka kupingana na akili yangu kwa hoja zenye mashiko lakini nakosa Kama una hoja Basi ungana nami kupinga akili yangu kwenye comment.

Akili yangu bado inajaribu kuwaza Nawezaje kuanzisha mchezo wa bahati nasibu (kubashiri) mechi kupitia page zangu za michezo.? Hapa penyewe nataka wale ma great thinker waje tujadiri.

Akili yangu pia inanambia kua, naweza kutengeneza application mfano Kama ile ya baraka mpenja, Millard ayo ila nikikumbuka mtaji nilio nao naona kabisa hili linabaki kuwa wazo tu. Hapa penyewe nahitaji washauri waje tujadiri.

Karibuni.[emoji16]
Follower 60K ni sawa ila inategemea follower wako uliwapataje kama robot au walikifata kwa ajili ya contents na kadhalika we ndio unajua.


Wats matter ni kwamba lazima ufanye kitu kulingana na aina ya mashabiki wako... Kama walifata michezo basi huwez toka kwenye michezo lazima ubaki hapo....
 
Kama wadau walovyousema,
Uza vitu vya sports mkuu

Iwe njumu, jezi au vile vifaa simple vya mazoezi sababu inakuwa rahisi kuuza maana michezo yaweza kuwa fun lakini ni sehemu ya kutengeneza mwili, angalia hapo 🙏🙏
 
Back
Top Bottom