Mchongo wa kunufaika na Shilingi Trilioni 1.3 za IMF

Mchongo wa kunufaika na Shilingi Trilioni 1.3 za IMF

Kaparare

Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
93
Reaction score
234
Great thinkers mambo vipi.

Naomba niende Moja kwa Moja kwenye kiini.

Mheshimiwa Rais amesema Kuna fedha shiling Tilioni Moja na bilioni mia tatu zinakwenda kuchemsha Nchi. Sasa jameni hebu tupeana uzoefu na michongo ya namna ya kunufaika nazo kihalali kabisa. Yaani kama ni ajira tenda au uzambazaji vifaa.

Nimeona kwenye magezeti kwamba Kuna magari zaidi ya Mia tatu yataingia kwenye shughuli unganishi ya hizi fedha. Means Kuna Madereva watahitajika. Kuna ujenzi mafundi lakini pia vifaa vya ujenzi.

Lakini yote kwa yote Pesa hizo zinatakiwa kutumika kwa miezi tisa tu hapa ndiko Utamu unakolea 😂😂 kwa maana hiyo wakati Mimi naandika hapa labda tayari mgawanyo umeshaanza.

Guys tupeana michongo au tekniki za kula keki hii ya Nchi kwa udhamini wa IMF.

ASANTE SANA
 
Nashindwa nianzie wapi kukujibu.

Miradi hiyo ya pesa nyingi ipo na ilikuwepo na itaendelea kuwepo

Trillion 1.3 ni ndogo sana, wala hakuna kinachochemshww hapo

Jaribu kufikiria sasa hivi tu kuna miradi inaendelea ya
  • SGR
  • JNHPP
  • Madaraja makubwa ya kigongo, wami, selander
  • Flyovers zinaendelea
  • Ujenzi wa hospitals
  • Ujenzi wa barabara
  • Mwendokasi
Hiyo miradi yote hapo juu ni zaidi ya Trillion 10, kwa nini usifikiri kuzipata hizo uje ufikirie kupata kwenye hii trillion 1.3?
Lengo langu nataka nikueleweshe kuwa miradi mikubwa sio sababu ya wewe kupata pesa.
 
Tatizo kubwa ni uwazi katika hiyo miradi. Ajira zipo Lakin hatusikii zinatangazwa kama hufahamiani na Engineer yeyote kwenye Mradi husika utabakia kusikia Mradi umefika asilmia 54 na usijue hata ulikoanzia. Ndo maana nikasema tupeana uzoefu na michongo ya Namna ya ku penetrate kwenye hiyo hiyo miradi.
Nashindwa nianzie wapi kukujibu.
Miradi hiyo ya pesa nyingi ipo na ilikuwepo na itaendelea kuwepo
Trillion 1.3 ni ndogo sana, wala hakuna kinachochemshww hapo
Jaribu kufikiria sasa hivi tu kuna miradi inaendelea ya
  • SGR
  • JNHPP
  • Madaraja makubwa ya kigongo, wami, selander
  • Flyovers zinaendelea
  • Ujenzi wa hospitals
  • Ujenzi wa barabara
  • Mwendokasi
Hiyo miradi yote hapo juu ni zaidi ya Trillion 10, kwa nini usifikiri kuzipata hizo uje ufikirie kupata kwenye hii trillion 1.3?
Lengo langu nataka nikueleweshe kuwa miradi mikubwa sio sababu ya wewe kupata pesa.
 
Tatizo kubwa ni uwazi katika hiyo miradi. Ajira zipo Lakin hatusikii zinatangazwa kama hufahamiani na Engineer yeyote kwenye Mradi husika utabakia kusikia Mradi umefika asilmia 54 na usijue hata ulikoanzia. Ndo maana nikasema tupeana uzoefu na michongo ya Namna ya ku penetrate kwenye hiyo hiyo miradi.
Ndjo maana nikakuambia sahau kupata chochote kwenye hiyo trillion 1.3
Hiyo pesa itanunua ambulance , wewe sio muuza ambulance
Itanunua sijui magari ya kuchimba visima, wewe sio muuza magari
Itajenga hospitals, wewe sio mkandarasi.
Itajenga shule, wewe sio mkandarasi.
Kwa kifupi kaa kwa kutulia, uangalie wenye meno wakiendelea kugawana.
 
Ndjo maana nikakuambia sahau kupata chochote kwenye hiyo trillion 1.3
Hiyo pesa itanunua ambulance , wewe sio muuza ambulance
Itanunua sijui magari ya kuchimba visima, wewe sio muuza magari
Itajenga hospitals, wewe sio mkandarasi.
Itajenga shule, wewe sio mkandarasi.
Kwa kifupi kaa kwa kutulia, uangalie wenye meno wakiendelea kugawana.
Eeh Mungu nisaidie. Eeh Mungu tusaidiane
 
Ndjo maana nikakuambia sahau kupata chochote kwenye hiyo trillion 1.3
Hiyo pesa itanunua ambulance , wewe sio muuza ambulance
Itanunua sijui magari ya kuchimba visima, wewe sio muuza magari
Itajenga hospitals, wewe sio mkandarasi.
Itajenga shule, wewe sio mkandarasi.
Kwa kifupi kaa kwa kutulia, uangalie wenye meno wakiendelea kugawana.
Safi umemjibu vizuri huyu mataga anashoboka tu hata TIN no. hana
 
Ndjo maana nikakuambia sahau kupata chochote kwenye hiyo trillion 1.3
Hiyo pesa itanunua ambulance , wewe sio muuza ambulance
Itanunua sijui magari ya kuchimba visima, wewe sio muuza magari
Itajenga hospitals, wewe sio mkandarasi.
Itajenga shule, wewe sio mkandarasi.
Kwa kifupi kaa kwa kutulia, uangalie wenye meno wakiendelea kugawana.
Safi umemjibu vizuri huyu mataga anashoboka tu hata TIN no. hana
 
Safi umemjibu vizuri huyu mataga anashoboka tu hata TIN no. hana
Anashindwa kuelewa kuwa hapo tayari watu washamaliza kazi,
Wanasubiri 10% tu
Hutajua ni kampuni gani imepewa tender ya hayo magari
Utaona tu wachina wapo busy wanajenga hospitals na barabara
Labda Kama anataka kuwa kibarua
 
Ndjo maana nikakuambia sahau kupata chochote kwenye hiyo trillion 1.3
Hiyo pesa itanunua ambulance , wewe sio muuza ambulance
Itanunua sijui magari ya kuchimba visima, wewe sio muuza magari
Itajenga hospitals, wewe sio mkandarasi.
Itajenga shule, wewe sio mkandarasi.
Kwa kifupi kaa kwa kutulia, uangalie wenye meno wakiendelea kugawana.
 
Anashindwa kuelewa kuwa hapo tayari watu washamaliza kazi,
Wanasubiri 10% tu
Hutajua ni kampuni gani imepewa tender ya hayo magari
Utaona tu wachina wapo busy wanajenga hospitals na barabara
Labda Kama anataka kuwa kibarua
Hata kibarua kama huna connection sahau, alafu utanikuta kavaa litishirt la kijani anasifu na kuabudu
 
Rais Samia ametilia mkazo sana hizo trillion toka IMF kuwa wale mchwa ndani ya serikali yake wasizifanyie mchezo atawazimgua! Lakini ukweli ni kwamba hizo hela Kutoka IMF ni kidogo sana ukilinganisha na mapato yetu wenyewe ya ndani ambayo mchwa ndani ya serikali wanateketeza bila kuogopa vitisho vya mama!

Ripoti ya matumizi mabaya ya fedha ya Bot aliyokabidhiwa iliainisha wahusika wa Wizi mkubwa wa fedha lakini hakuna hatua kali zilizochukuliwa dhidi yao.
Hapo hazina mchwa wanajilipa fedha hovyo kama vile za baba zao na hilo alituthibitishia waziri mkuu Majaliwa mwenyewe lakini hakuna hatua za kuwaadhibu wahusika zilizochukuliwa!!

Hawa watendaji wa serikali hii wameisha msoma Rais kuwa ana vitisho lakini hana MENO na ndio maana wamekaa mkao wa kuzitafuna hizo hela za IMF wakati mama anasafiri.
Tatizo kubwa katika utawala huu ni unafiki wa washauri wake kwani wanamficha ukweli eti kwa sababu mama anateua wanawake na wazanzibari wengi at the expense ya wabara wanaume hivyo mbinu hizo za kumkwamisha !!!
 
Great thinkers mambo vipi.

Naomba niende Moja kwa Moja kwenye kiini.

Mheshimiwa Rais amesema Kuna fedha shiling Tilioni Moja na bilioni mia tatu zinakwenda kuchemsha Nchi. Sasa jameni hebu tupeana uzoefu na michongo ya namna ya kunufaika nazo kihalali kabisa. Yaani kama ni ajira tenda au uzambazaji vifaa.

Nimeona kwenye magezeti kwamba Kuna magari zaidi ya Mia tatu yataingia kwenye shughuli unganishi ya hizi fedha. Means Kuna Madereva watahitajika. Kuna ujenzi mafundi lakini pia vifaa vya ujenzi.

Lakini yote kwa yote Pesa hizo zinatakiwa kutumika kwa miezi tisa tu hapa ndiko Utamu unakolea 😂😂 kwa maana hiyo wakati Mimi naandika hapa labda tayari mgawanyo umeshaanza.

Guys tupeana michongo au tekniki za kula keki hii ya Nchi kwa udhamini wa IMF.

ASANTE SANA
The current metro area population of Zanzibar in 2021 is 735,000, a 4.26% increase from 2020. The metro area population of Zanzibar in 2020 was 705,000, a 4.14% increase from 2019.
 
Back
Top Bottom