Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Unamchongea kiumbe mwenzio
Ok,Gado yupo shirika kani?hapana wa dw Wanaitwa Said Michael, na Meddy
Kipanya mnafiki sana..
Hadi kwenye breakfast hua akifika mahali pa serikali anaruka hatoi hata maoni....such a woman!
Gado yupo Kenya anawapandia Wakenya huko huko bila kuogopa,na Kenya walivyo wauaji the guy cruises!
Jamaa ameshatekwa na itikadi za kisiasa matokeo yake ameshindwa ku balance sanaa yake.ukimsikiliza kwenye power breakfst,ndio unajua ni wa mlengo gani.
Hivi huyu ndo yule wa DW?
Gado anachorea katuni za makala gazeti la The EastAfrican Standard Nairobi. Anapendelea katuni za siasa/Makala kuangazia afrika mashariki na kati. Kazi zake pia zimewahi kuchapishwa na Daily Nation (Kenya), Le Monde and Courrier International (France), Deutsche Welle (Germany), The Guardian ya LondonOk,Gado yupo shirika kani?
Gado ni noma zaidi ya masudi coz anakamua international zaidi..anawakimbiza sana huko Kenya pia...a TZ in KE!
Hehehehe Jamaa wenu huyo yaani huku Kenya anapita maelezo...
Wewe unaweza kumchamba Jiwe?au vile upo humu kujificha?Mazingira tuliyonayo sio yakumlaumu MTU nakumuona mdhaifu .Hali ni mbaya sana kila mmoja anafanya kwa tahadhariKipanya mnafiki sana..
Hadi kwenye breakfast hua akifika mahali pa serikali anaruka hatoi hata maoni....such a woman!
Gado yupo Kenya anawapandia Wakenya huko huko bila kuogopa,na Kenya walivyo wauaji the guy cruises!
Tangu alivyoenda ziara ya kuwatembelea wasiojulikana amekuwa mpole sana Arif. Jamaa huwa wanampigia simu kuwa tunaona katuni zako means "We are watching you!"Wewe unaweza kumchamba Jiwe?au vile upo humu kujificha?Mazingira tuliyonayo sio yakumlaumu MTU nakumuona mdhaifu .Hali ni mbaya sana kila mmoja anafanya kwa tahadhari
Wewe unaweza kumchamba Jiwe?au vile upo humu kujificha?
Mazingira tuliyonayo sio yakumlaumu MTU nakumuona mdhaifu .Hali ni mbaya sana kila mmoja anafanya kwa tahadhari
Hakuna Ubishi kwa hilo...wote ni wachoraji wazuri tofauti zao ni Style za uchoraji... Masoud anachora katuni za kufikirisha, ila Gado anahit straight to the pointmasoud kipanya akipata uhuru wa kuchora na kutoa maoni yake gado atasubiri sana.
masoud kipanya akipata uhuru wa kuchora na kutoa maoni yake gado atasubiri sana.
Mkuu upo real au unanipa sarcasm maana hua ukisikia TZ unaua tu!
Hahahahaaaaa