Mchoraji Gado wa DW na Museveni

Mchoraji Gado wa DW na Museveni

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Dunia imeendelea kushuhudia matukio ya viongozi mbali mbali wa Afrika wakigeuka miungu watu nchini kwao.

Uganda inashuhudia babu M7 akiwania uongozi hata baada ya kufikisha miaka 76,uzee ushapiga hodi lkn bado anahitaji kuwaongoza wana Uganda.

Screenshot_20210115-161329.jpg
 
Hushangai chairman aliyeng'oa kipengele cha ukomo anataka kutawala mpaka lini!
Dunia imeendelea kushuhudia matukio ya viongozi mbali mbali wa Afrika wakigeuka miungu watu nchini kwao.

Uganda inashuhudia babu M7 akiwania uongozi hata baada ya kufikisha miaka 76,uzee ushapiga hodi lkn bado anahitaji kuwaongoza wana Uganda.View attachment 1678135
 
Back
Top Bottom