Mchoraji Katuni, Optter Fwema mahakamani leo

Mchoraji Katuni, Optter Fwema mahakamani leo

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Nimejulishwa na wakili anayesimamia jopo la utetezi kutoka THRDC kuwa leo Jamhuri itampeleka Optter mahakamani.

Optter ameshikiliwa zaidi ya siku 10. Pamoja na tuhuma za kimtandao, amebanwa kuelezea ukaribu wake na Kigogo14.

Balozi mbalimbali nchini na wapigania haki kutoka sehemu mbalimbali ulimwenguni wanafuatilia sakata hili.

Tutaendelea kuweka updates kadiri zinavyojiri
Screenshot_20211004-223734_Drive.jpg



==========UPDATES============
Mpaka sasa polisi wanapiga danadana kumpeleka mahakamani


Mpelelezi wa kesi amepokea maagizo na hajampeleka mahakamani hadi muda huu.

Kuna dalili wanataka kumpeleka mahakamani kwa kificho ili asipate dhamana.

Kuna dalili shinikizo kutoka juu kuwa aendelee kushikiliwa polisi.

Mawakili wanashughulikia options za kisheria..
 
Halafu Hakuna kuwajibika,mtu unamshikilia zaidi ya siku 10 kinyume na sheria halafu maisha yanaendelea tu!Jeshi letu linaongoza kwa kukiuka sheria!

Mimi ningependekeza itungwe sheria kila mtuhumiwa anapofikishwa mahakamani basi swali LA kwanza kutoka kwa Hakimu/Jaji liwe amekamatwa lini ?Kama muda umezidi saa 48 basi taarifa iingizwe kwenye mfumo maalum!Kianzishwe chombo cha kutrack hizi taarifa na kuwashughulikia polisi!
 
Hii kesi wanaenda kujidhalilisha tena mahakamani. Katuni imechorwa mwanamke anachezea maji nyuma yake Kuna jamaa ameandikwa neno KIWETE mgongoni hapo unaweza kutoa kila aina ya tafsiri.

Hii wanapoteza muda na kumsumbua kijana wa watu.
 
Nimejulishwa na wakili anayesimamia jopo la utetezi kutoka THRDC kuwa leo Jamhuri itampeleka Optter mahakamani.

Optter ameshikiliwa zaidi ya siku 10. Pamoja na tuhuma za kimtandao, amebanwa kuelezea ukaribu wake na Kigogo14.

Balozi mbalimbali nchini na wapigania haki kutoka sehemu mbalimbali ulimwenguni wanafuatilia sakata hili.

Tutaendelea kuweka updates kadiri zinavyojiriView attachment 1963283

Kwani kigogo14 si alisharudi nyumbani kama bi Mange na hata Hangaya akaramba selfie?
 
Hii kesi wanaenda kujidhalilisha tena mahakamani. Katuni imechorwa mwanamke anachezea maji nyuma yake Kuna jamaa ameandikwa neno KIWETE mgongoni hapo unaweza kutoa kila aina ya tafsiri.

Hii wanapoteza muda na kumsumbua kijana wa watu.
Chief tuweke tuione
 
Halafu Hakuna kuwajibika,mtu unamshikilia zaidi ya siku 10 kinyume na sheria halafu maisha yanaendelea tu!Jeshi letu linaongoza kwa kukiuka sheria!
Mimi ningependekeza itungwe sheria kila mtuhumiwa anapofikishwa mahakamani basi swali LA kwanza kutoka kwa Hakimu/Jaji liwe amekamatwa lini ?Kama muda umezidi saa 48 basi taarifa iingizwe kwenye mfumo maalum!Kianzishwe chombo cha kutrack hizi taarifa na kuwashughulikia polisi!
Sheria ipo sema wanaifumbia macho
 
Nimejulishwa na wakili anayesimamia jopo la utetezi kutoka THRDC kuwa leo Jamhuri itampeleka Optter mahakamani.

Optter ameshikiliwa zaidi ya siku 10. Pamoja na tuhuma za kimtandao, amebanwa kuelezea ukaribu wake na Kigogo14.

Balozi mbalimbali nchini na wapigania haki kutoka sehemu mbalimbali ulimwenguni wanafuatilia sakata hili.

Tutaendelea kuweka updates kadiri zinavyojiriView attachment 1963283
Ashughulikiwe ipasavyo Ili iwe fundisho na Kwa akina Masudi na wengine
 
Hii wanajidhalilisha tu on a serious note hakuna kesi hapo. Kuna kundi linaanza kumgombanisha mama na waandishi wa habari bila yeye kujua na hiyo atakuja kustuka tayari wakati ameingia kwenye list ya madikteta. Ajichunge sana na kesi za kipuuzi kama hizi ambazo tulizoea enzi ya Utawala wa Magufuli.
 
Nimejulishwa na wakili anayesimamia jopo la utetezi kutoka THRDC kuwa leo Jamhuri itampeleka Optter mahakamani.

Optter ameshikiliwa zaidi ya siku 10. Pamoja na tuhuma za kimtandao, amebanwa kuelezea ukaribu wake na Kigogo14.

Balozi mbalimbali nchini na wapigania haki kutoka sehemu mbalimbali ulimwenguni wanafuatilia sakata hili.

Tutaendelea kuweka updates kadiri zinavyojiriView attachment 1963283
Kwani kigogo si yupo com?

Polisi wetu ndio maana wanataka div4 na 0

Hawataki akili ZA kuchanganau mambo
 
Hii kesi wanaenda kujidhalilisha tena mahakamani. Katuni imechorwa mwanamke anachezea maji nyuma yake Kuna jamaa ameandikwa neno KIWETE mgongoni hapo unaweza kutoa kila aina ya tafsiri.

Hii wanapoteza muda na kumsumbua kijana wa watu.

Hawa Polisi wetu hawachelewi kumfungulia Kesi ya uchochezi au kukutwa na madawa ya kulevya au uhujumu uchumi na money laundering.
Subiri uone
 
Back
Top Bottom