Mchoro maarufu uliosumbua vichwa vya watu

Mchoro maarufu uliosumbua vichwa vya watu

Military Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2019
Posts
761
Reaction score
1,464
IMG-20200511-WA0073.jpg

Miaka ya 1990 mchoraji maarufu mwanamama Laura P raia wa US aliichukua picha orijino iliyopigwa na mpiga picha James Kidd katika mashindano ya kukimbiza farasi huko Tombstones, Arizona US na kisha akaichora ya kwake kama hiyo.

James alisema picha hiyo orijino aliyoipiga ilionekana kuwa na kitu ambacho wakati anaipiga hakikuwepo, kulionekana na mwonekano wa kama umbo la mtu lakini halikuwa na kichwa, ndipo mwanamama Laura Baada ya kupata habari hizi akaamua aichukue na kuchora yake kama hiyo.

Laura anasema alipomaliza tuu kuchora picha hiyo ule mwonekano kama wa mtu asiye na kichwa ukaonekana hata katika picha yake hiyo, wakati yeye hakuuchora. Hakujali.

Akaipeleka picha yake hiyo aliyoichora katika maonyesho kwa lengo la kuiuza, ajabu ni kua baada ya siku tatu akaitwa akaifuate. Mnunuzi anasema baada ya kuipachika ukutani ofisini kwake alianza kustaajabu kuona inajihamisha yenyewe, sahivi ipo ukuta huu, baadaye anaiona ipo ukuta ule.

Lakini pia alisema tangu aiweke tuu picha hiyo ofisini kwake documents nyingi ofisini humo zilikuwa zinapotea. Mchoro ukarudishwa kwa Laura mwenyewe ambapo alienda kuuhifadhi nyumbani alikokua anaishi na mumewe ambako mauzauza yaliedelea.

Laura anasema wakati Siku moja rafiki ake amemtembelea akamsimulia kuhusu picha hiyo, rafiki yake huyo alicheka sana kwa dharau kisha akaichukua. Kufika kwake akaiweka mezani, pale pale saa iliyokuwa ukutani ikaanguka na kupasuka, na ni saa iliyowekwa zaidi ya miaka 50 nyuma na haijawahi anguka.

Kuona hivyo akairudisha chap kwa Laura, Laura akaichoma siku hiyo hiyo. Tazama vizuri mchoro huo upande wa kushoto.
.
.
.
Written by Military Genius

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1447386

Miaka ya 1990 mchoraji maarufu mwanamama Laura P raia wa US aliichukua picha orijino iliyopigwa na mpiga picha James Kidd katika mashindano ya kukimbiza farasi huko Tombstones, Arizona US na kisha akaichora ya kwake kama hiyo.

James alisema picha hiyo orijino aliyoipiga ilionekana kuwa na kitu ambacho wakati anaipiga hakikuwepo, kulionekana na mwonekano wa kama umbo la mtu lakini halikuwa na kichwa, ndipo mwanamama Laura Baada ya kupata habari hizi akaamua aichukue na kuchora yake kama hiyo.

Laura anasema alipomaliza tuu kuchora picha hiyo ule mwonekano kama wa mtu asiye na kichwa ukaonekana hata katika picha yake hiyo, wakati yeye hakuuchora. Hakujali.

Akaipeleka picha yake hiyo aliyoichora katika maonyesho kwa lengo la kuiuza, ajabu ni kua baada ya siku tatu akaitwa akaifuate. Mnunuzi anasema baada ya kuipachika ukutani ofisini kwake alianza kustaajabu kuona inajihamisha yenyewe, sahivi ipo ukuta huu, baadaye anaiona ipo ukuta ule.

Lakini pia alisema tangu aiweke tuu picha hiyo ofisini kwake documents nyingi ofisini humo zilikuwa zinapotea. Mchoro ukarudishwa kwa Laura mwenyewe ambapo alienda kuuhifadhi nyumbani alikokua anaishi na mumewe ambako mauzauza yaliedelea.

Laura anasema wakati Siku moja rafiki ake amemtembelea akamsimulia kuhusu picha hiyo, rafiki yake huyo alicheka sana kwa dharau kisha akaichukua. Kufika kwake akaiweka mezani, pale pale saa iliyokuwa ukutani ikaanguka na kupasuka, na ni saa iliyowekwa zaidi ya miaka 50 nyuma na haijawahi anguka.

Kuona hivyo akairudisha chap kwa Laura, Laura akaichoma siku hiyo hiyo. Tazama vizuri mchoro huo upande wa kushoto.
.
.
.
Written by Military Genius

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaio mkuu umeileta JF ili nyuzi zipotee sio🤔🤔😂😂😂😂
 
Wazungu wanaamini sana haya mambo

Haunted houses na haunted places wao huwa wanasema kuna mtu aliuwawa hapo au waliteswa na kufa vibaya, sasa mizimu ndio inafanya kazi

Nyumba zipo za hivyo ila kwetu huko tunajua kuroga tu na imani za kishirikina lakini haunted homes zipo pia
Natamani sana kujua zilipo ili nikazitembelee

Wazungu mpaka wana programme zao na huwa wanatoa na hela nyingi kama unaweza kulala kwenye nyumba za hivyo bila kuogopa na camera zimewekwa kila kona

Ila kwa picha tu kuleta vurugu Hapana kwa kweli


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Wazungu wanaamini sana haya mambo
Haunted houses na haunted places wao huwa wanasema kuna mtu aliuwawa hapo au waliteswa na kufa vibaya, sasa mizimu ndio inafanya kazi

Nyumba zipo za hivyo ila kwetu huko tunajua kuroga tu na imani za kishirikina lakini haunted homes zipo pia
Natamani sana kujua zilipo ili nikazitembelee
Wazungu mpaka wana programme zao na huwa wanatoa na hela nyingi kama unaweza kulala kwenye nyumba za hivyo bila kuogopa na camera zimewekwa kila kona

Ila kwa picha tu kuleta vurugu Hapana kwa kweli


Sent from my iPhone using Tapatalk
.ata uku haunted homes zipo sana mjumbe sema ss wa aafrika wabish tunakoomaa nazo mpka mauza uza yanatuzoea na ss tunayazoea inshort tuna roho ngum mnoo kuwazid whites

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom