King Mukhil
Member
- Oct 15, 2017
- 14
- 7
Nimekuwa nikiona mchoro wa picha ya ndala pale timu ya Dar es Salaam Youngs Africa inapoandikwa katika magezeti kama alama ya uwakilishi wa timu hiyo.
Kama mpenzi wa klabu ya Yanga na soka la Tanzania kwa ujumla nashindwa kuelewa picha ya ndala inawakilisha ujumbe gani kwa klabu hiyo.
Lakini zaidi ya yote asili yake ni nini na waandishi walianza lini kutumia kama lugha ya picha kwa vijana hao wa Jangwani?
Naomba kupata uwelewa wa hili.
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Kama mpenzi wa klabu ya Yanga na soka la Tanzania kwa ujumla nashindwa kuelewa picha ya ndala inawakilisha ujumbe gani kwa klabu hiyo.
Lakini zaidi ya yote asili yake ni nini na waandishi walianza lini kutumia kama lugha ya picha kwa vijana hao wa Jangwani?
Naomba kupata uwelewa wa hili.
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app