Na wewe usiniambie haujaniita kwa kuwa sijakupangia pia.. Ila nimehoji kuna faida gani ya uhuni, au ukijua dar au arusha nani anaongoza kuna faida gani?
Ulitakiwa uje na hoja kunipinga ila umereact kanakwamba sistahili kujadili wakati umepost jf kila mtu anastahili kuleta hoja yake.