Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
tuwaache mlale au tusubiri mmalizie ndoto yenuKila la kheri Mtani
Sisi zamu yetu Mwakani kutinga Fainali ya Champions League πͺ
tunazipataje hizo ticketNMB na CRDB kila mmoja tickets elfu tano.
Chalamila kasema atazigawa yeye mwenyewe kwa wale mashabiki hamshahamsha.tunazipataje hizo ticket
Sisi tuna mipango yenye dira, maana kufika robo fainali 4 katika miaka yetu 5 sio jambo rahisi.tuwaache mlale au tusubiri mmalizie ndoto yenu
Huku kwenye shirikisho nyie mna kipi cha kujivunia?Sisi tuna mipango yenye dira, maana kufika robo fainali 4 katika miaka yetu 5 sio jambo rahisi.
Ninyi mmeangukia pua mara zote hizo ndiyo mmetokea kwenye Shirikisho
Tumefika robo fainali pia.Huku kwenye shirikisho nyie mna kipi cha kujivunia?
Na ndio lengo hiloKuna dalili za milango kuwa wazi siku hiyo..yaani free
Hivi mnajisikiaje kila siku unarisiti tu mtihani halafu unachokipata ndio kile kile hauongezi kitu kuvuka mbele. Shida ni nini?Tumefika robo fainali pia.
Ila mwakani uhakika fainali au nusu [emoji123]
Timu ya wasanii, janja janja nyingi. Kwa hiyo mnaringia kufeli mara nne, mnahesabu kuwa mafanikio? Mheshimiwa Rage apewe maua yake!!Sisi tuna mipango yenye dira, maana kufika robo fainali 4 katika miaka yetu 5 sio jambo rahisi.
Ninyi mmeangukia pua mara zote hizo ndiyo mmetokea kwenye Shirikisho
Mnatoka kiume π πSisi tuna mipango yenye dira, maana kufika robo fainali 4 katika miaka yetu 5 sio jambo rahisi.
Ninyi mmeangukia pua mara zote hizo ndiyo mmetokea kwenye Shirikisho
Wacha kutugombanisha Mkuu, unajua tukisema tuwavunjie nazi hiyo fainali yenu mtaishia kupigwa nje ndani.Timu ya wasanii, janja janja nyingi. Kwa hiyo mnaringia kufeli mara nne, mnahesabu kuwa mafanikio? Mheshimiwa Rage apewe maua yake!!
Kwani nyie tangu mmeanza kucheza Kimataifa si mlikuwa mnaishia makundi Mkuu, sisi kila Mwaka graph yetu inazidi kupaa ndiyo maana ukizitaja Klabu 15 zenye mafanikio Kimataifa basi Huikosi Simba Sports Club πͺHivi mnajisikiaje kila siku unarisiti tu mtihani halafu unachokipata ndio kile kile hauongezi kitu kuvuka mbele. Shida ni nini?