Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale tuliomaliza form six mwaka huu na hatujaitwa awamu yeyote ile...tunakumbuka ilikuwa ni hivi kwanza zilichaguliwa shule watu wakaend ..pili aaaah waliopata 1&2 pamoja na 3 sayansi tukabaki na leo hii mchujo umekua alfabeti....ni hivi "kibaha tuchukue hadi Z afuu lyamungo tuishie J".....unajua kwanini j ...tulikuwa shazi ya mtuu kaa 420 hivi ni hatari.
Ndio hawa wanaleta mambo ya facebook huku.Majanga!!! Hivi wewe ni form six?!!!.
Kweli inatia shaka.........Majanga!!! Hivi wewe ni form six?!!!.