Ndiyo maana akajitafakari akaamua kuondoka kwa busara. Na yeye kama zimo ajifikirie na achukue maamuziTenga alifanya nini cha maana kumzidi Malinzi?
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Usaili uwe live kwenye TVMCHUJO UCHAGUZI MKUU TFF
Wakati majina 73 yakipita katika hatua ya awali,mgombea tishio Ali Mayai amepita kihunzi hicho. Mwanasoka Ali Mayai wamekuwa akiiundiwa mazengwe na timu ya fitna ya Malinzi ambayo imekosa sababu za kuendelea uongozini.
Kamati ya Uchaguzi ya TFF imechuja jina la Abdallah Mussa katika orodha ya wagombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi ujao wa shirikisho. Sababu za kukata jina la Mussa ambaye alikuwa anawania nafasi ya Ujumbe kutoka Kanda Na. 1 ya mikoa ya Kagera na Geita ni kutoambatanisha kivuli cha cheti cha kidato cha nne kwa mujibu wa kanuni ya 9 inayozungumzia sifa nane za kuwania uongozi TFF. Katika majina hayo 73, majina 10 ni wale wanaowania urais, makamu rais sita na wajumbe wa kamati ya utendaji 57.
Wagombea wote hapo juu wanatakiwa kufika kwenye usaili utakaofanyika kuanzia Juni 29, 2017 hadi Julai 1, mwaka huu katika ofisi za TFF Karume, Dar es Salaam kuanzia saa 4.00 asubuhi wakiwa na nyaraka halisi za viambatisho vyote walivyoweka kwenye fomu za maombi. Vyeti vya elimu ya Sekondari viwe vya Baraza la Mitihani (NECTA
Ni hicho tuu,pale sio sehemu ya majaribio.Kw upande wangu malinzi apishe na mwenzie wajaribu!
Teh teh tehEnzi za Tenga Kagera Sugar walikuwa hawakatai ile kitu mmempa kipa wa Mbao eeeh?
Kweli wewe ni Ng'ombe uliekatwa mkia,eeh Tenga alituletea kikombe gani au tulishiriki michuano gani mikubwa zaidi ya nafasi za FIFA.Alivyotoka tenga Fifa tulikua nafasi ya ngapi na sasa tupo nafasi ya ngapi?
Narudia tena malinzi hafai kuendelea
Kweli hujui kitu,Tenga alimaliza muda wake wa awamu ya pili na Malinzi pia atamaliza kwa mafanikio makubwa sana.Ndiyo maana akajitafakari akaamua kuondoka kwa busara. Na yeye kama zimo ajifikirie na achukue maamuzi
Upo wapi?!
!
Turudishieni mpira wetu
Labda Rais wa SputanzaTembele rais TFF. Kama hutaki kula ndimu.
Changes zipi hizo?Malinzi out
Tunataka changes
Alikataa mpira wa miguu kuchezwa mezani.hivi malinzi alishawahi kucheza hata mpira wa makaratasi tu?
Chukueni mpira nendeni pale Taifa Mayai awapigie danadana mpaka asubuhi.Rais hajui hata kupiga danadana
Unafikiri Tenga alikuwa anamlipa Maximo fedha kutoka mfukoni mwake?Alivyotoka tenga Fifa tulikua nafasi ya ngapi na sasa tupo nafasi ya ngapi?
Narudia tena malinzi hafai kuendelea
Tenga alijenga shirikisho lenye kufata sheria na taaluma, likijumuisha wataalamu mbalimbali,sio TFF ya malinzi haina tofauti na club za simba na yanga uendeshwaji wake, makomandoo kibao na fitna tupuTenga alifanya nini cha maana kumzidi Malinzi?
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app