Mchujo TFF:Ali Mayai apeta,Malinzi afungaishe

hivi malinzi alishawahi kucheza hata mpira wa makaratasi tu?
 
Usaili uwe live kwenye TV
 
Katika pita pita zangu,rada yangu imenasa ya kuwa malinzi anarudi kama rais wa tff na makamu wake ni wambura,tusubiri muda ndio utaoongea
 
Alivyotoka tenga Fifa tulikua nafasi ya ngapi na sasa tupo nafasi ya ngapi?
Narudia tena malinzi hafai kuendelea
Kweli wewe ni Ng'ombe uliekatwa mkia,eeh Tenga alituletea kikombe gani au tulishiriki michuano gani mikubwa zaidi ya nafasi za FIFA.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Alivyotoka tenga Fifa tulikua nafasi ya ngapi na sasa tupo nafasi ya ngapi?
Narudia tena malinzi hafai kuendelea
Unafikiri Tenga alikuwa anamlipa Maximo fedha kutoka mfukoni mwake?
Mshukuru Kikwete alipenda michezo

Halafu kipindi hicho hatukuwa tunaaibishwa na watu walioshindwa uwanjani halafu wanaandika barua za kuomba ubingwa mezani...
 
Tenga alifanya nini cha maana kumzidi Malinzi?

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Tenga alijenga shirikisho lenye kufata sheria na taaluma, likijumuisha wataalamu mbalimbali,sio TFF ya malinzi haina tofauti na club za simba na yanga uendeshwaji wake, makomandoo kibao na fitna tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…