Mchujo TFF:Ali Mayai apeta,Malinzi afungaishe

Kuna vipambe vya malinzi tangu asubuhi vimekomaa kumtetea jamaa yao na kumponda Mayai, vimekenua asubuhi vilipodanganyana eti Mayai amekatwa basi vikajifanya vinajua sheria za uchaguzi za tff sasa bado vinahangaika hapa.
kama jamaa yenu yupo vizuri si mtulie apambane kwenye sanduku la kura?
 
Mwenyekiti wa sasa wa CAF kabla ya uchaguz alibezwa kama anavyobezwa Ally Mayai Tembele.
 
Figisufigisu zimebuma naona...

Hashtag ni ileile [HASHTAG]#malinzimustquit[/HASHTAG] [HASHTAG]#malinziout2017[/HASHTAG]
 
Kama sikosei Ali mayai tembele alipata 0 form 4 cheti atatoa wapi?
 
Malinzi angekuwa mungwana angejiuzulu hiyo nafasi maana huu upepo sio umechafuka upande cha ajubu bado anataka kuendelea viongozi wetu wanashindwa kusoma nyakati
 
Before we know TFF will become Kagera Star...kuanzia mfagiaji mpaka boss wote watakuwa jamaa wanyumbani
 
Malinzi akaendeleze fani yake aachane na mpira wetu
 
Kuja mtu anatokwa na povu humu atakuwa katumwa aje aangalie upepo na huku,,,,,,kamwambie hamtumtaki sio ngumi hapa
 
Malinzi amewaweka line up ya wapiga kura wake siku nyingi either by corruption or not! Na atashinda unless kuwe na nguvu tofauti like involving TAKUKURU otherwise jamaa atashinda asubuhi mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…