Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyodo zako kwa Malinzi zitakuisha muda si mrefu!!Zitaje hizo sifa zake hapa pamoja na CV yake.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
FIFA ndio wanajua kupiga dana dana, mpaka sasa barua ya kuomba kombe inapigwa dana danaRais hajui hata kupiga danadana
Mke wa malinzi bhana
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Rais hajui hata kupiga danadana
mengine ya kipuuz sasa kama yupo miongoni mwa kumi maana yake si anazo sifa.Zitaje hizo sifa zake hapa pamoja na CV yake.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Malinzi amewaweka line up ya wapiga kura wake siku nyingi either by corruption or not! Na atashinda unless kuwe na nguvu tofauti like involving TAKUKURU otherwise jamaa atashinda asubuhi mapemaMCHUJO UCHAGUZI MKUU TFF
Wakati majina 73 yakipita katika hatua ya awali,mgombea tishio Ali Mayai amepita kihunzi hicho. Mwanasoka Ali Mayai wamekuwa akiiundiwa mazengwe na timu ya fitna ya Malinzi ambayo imekosa sababu za kuendelea uongozini.
Kamati ya Uchaguzi ya TFF imechuja jina la Abdallah Mussa katika orodha ya wagombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi ujao wa shirikisho. Sababu za kukata jina la Mussa ambaye alikuwa anawania nafasi ya Ujumbe kutoka Kanda Na. 1 ya mikoa ya Kagera na Geita ni kutoambatanisha kivuli cha cheti cha kidato cha nne kwa mujibu wa kanuni ya 9 inayozungumzia sifa nane za kuwania uongozi TFF. Katika majina hayo 73, majina 10 ni wale wanaowania urais, makamu rais sita na wajumbe wa kamati ya utendaji 57.
Wagombea wote hapo juu wanatakiwa kufika kwenye usaili utakaofanyika kuanzia Juni 29, 2017 hadi Julai 1, mwaka huu katika ofisi za TFF Karume, Dar es Salaam kuanzia saa 4.00 asubuhi wakiwa na nyaraka halisi za viambatisho vyote walivyoweka kwenye fomu za maombi. Vyeti vya elimu ya Sekondari viwe vya Baraza la Mitihani (NECTA