Mchumba anahitajika haraka.

Mchumba anahitajika haraka.

wewe ni mzungu???nipeleke hii mada u-turn,kule naona wadada kibao wanalilia bahati ya kuolewa na wazungu???

Yap mzungu/mswahili. I speak swahili and Maasai fluently
 
Nafikili uje Tz mitaa ya Sewa, Kino Makaburini, Ohio street, kwa Macheni, yani utapata wa fasta.

Otherwise mke mwema hutoka kwa Bwana, Muombe kwa bidii utapata tu.
Ukiwa na haraka utapata wa haraka ambao wengi wao ni vimeo na utajuta maisha yako yote kwa kumpata huyo m2
 
Haraka haraka haina Baraka.
 
Unatafuta mchumba!!Inaelekea itakuwa kwamkataba tunaomba utwambie nikwa muda gani.
 
Kind of the thing...
mweee kumbe ni manunuzi thng?
just mwenye kidude hawa anaitajika?just kufil the gap?dah kaz kubwa i
nakuja mwaya sijui utankubali...macho yangu ndo ayo yanamwekua mwekua 24 7 ...utankubali ivo ivo?if so poa najaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa bila kad!!!!!
 
Unatafuta mchumba!!Inaelekea itakuwa kwamkataba tunaomba utwambie nikwa muda gani.
umeona enhh?manake tangazo alivyolitoa ni km...MENEJSA MASOKO ANAITAJIKA HARAKA.....MHH i can read alot from his post .....
 
'I know alot about the country' Yes you do coz you were born in Tz. 'Worked for 15 yrs' We all worked in Tz. Nenda U-turn blog kafanye registration kule utapata mara moja bila shaka.
 
Bado hawajakucheki katika e-mail yako?
 
hicho kichwa cha habari si mchezo,haina tofauti na "derava mwenye leseni daraja C anahitajika haraka".
yaani hii inamfaa mwanamke ambaye yuko more than desparate ambaye yeye anachotaka ni mume,asiye hitaji hata muda wa kujiuliza chochote juu ya huyu bwana.mweeh!
 
hicho kichwa cha habari si mchezo,haina tofauti na "derava mwenye leseni daraja C anahitajika haraka".
yaani hii inamfaa mwanamke ambaye yuko more than desparate ambaye yeye anachotaka ni mume,asiye hitaji hata muda wa kujiuliza chochote juu ya huyu bwana.mweeh!

huyu lazima ni wa tarime...
 
I am interested, pls adv the way forward. Je tutaishi US au Bongo?
 
Back
Top Bottom