Mchumba anahitajika

Mtumishi umekosa kanisan kweli
 
kwanini lakini jamani... nimefatilia kwa ukaribu sana nyuzi alizofungua huyu kaka naona kaanza kutafuta mchumba/mke humu tangu 2013 na kawahi kukata tamaa mara moja, lkn pia bado anatafuta ivoivo... dah muombe Mungu atakupa wa kufanana na wewe.
Ndo bahati yako itumie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…