DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,336
Mimi ni kijana wa kitanzania,
Mwenye miaka 33 nakaribisha,
Wanawake kwa wasichana wenye,
Nia ya dhati ya kuanza uhusiano,
Utakao elekea katika ndoa.
Sifa;
Ucha Mungu,
Dini yeyote,
(Nipo tayari kumfuata mke wangu kwani naabudu dini za jadi)
Elimu kuanzia darasa la saba,
Mimi chocolate kwa hiyo napenda mke wangu awe mweupe au maji,
Ya kunde.
Tabia njema asiye na makuu
Umri 20_35
Karibuni pm
Angalizo kama haupo serious
Naomba utulie tu
NB: Mazungumzo ya pm yatakuwa na kubaki siri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye miaka 33 nakaribisha,
Wanawake kwa wasichana wenye,
Nia ya dhati ya kuanza uhusiano,
Utakao elekea katika ndoa.
Sifa;
Ucha Mungu,
Dini yeyote,
(Nipo tayari kumfuata mke wangu kwani naabudu dini za jadi)
Elimu kuanzia darasa la saba,
Mimi chocolate kwa hiyo napenda mke wangu awe mweupe au maji,
Ya kunde.
Tabia njema asiye na makuu
Umri 20_35
Karibuni pm
Angalizo kama haupo serious
Naomba utulie tu
NB: Mazungumzo ya pm yatakuwa na kubaki siri
Sent using Jamii Forums mobile app