Jeremiah255
Member
- Jan 31, 2021
- 8
- 8
Naitwa Jeremiah nna miaka 31 naishi kibaha pwan natafuta mwenza/mchumba wa maisha na awe seriuosly umri kuanzia 28-32! Aliyeseriuos tuwasiliane+255620257229.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila rakheri! Hiyo picha ni wewe?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeona mwana anafanana na dr. Shika au?
Picha yako mkuu haujavaa very smart, na pia umenuna sana na kukunja uso kama gaidi la al shabaab 😂😂 smile ni muhimu, pia mazingira umepigia pia hayavutii. Kila la kheri mkuu.Naitwa Jeremiah nna miaka 31 naishi kibaha pwan natafuta mwenza/mchumba wa maisha na awe seriuosly umri kuanzia 28-32! Aliyeseriuos tuwasiliane+255620257229.View attachment 1695875
Usinifanye nikatenda dhambi buree, nimefikiria vitu vingi sana kuhusu hiyo picha🤔 ikitokea siku umemkosea labda mmh nahisi atakudunda hadi ukome maana alivonuna hapo🙌Umeona mwana anafanana na dr. Shika au?
Picha yako mkuu haujavaa very smart, na pia umenuna sana na kukunja uso kama gaidi la al shabaab [emoji23][emoji23] smile ni muhimu, pia mazingira umepigia pia hayavutii. Kila la kheri mkuu.
Pia Sababu umeweka picha, ungeandika historia yako fupi ya maisha na CV yako. Pamoja na yote, Nakuombea upate hitaji lako.
Acha awe halisia ndo atapata mke sahihi ,hamkosi cha kukosoa ???Picha yako mkuu haujavaa very smart, na pia umenuna sana na kukunja uso kama gaidi la al shabaab [emoji23][emoji23] smile ni muhimu, pia mazingira umepigia pia hayavutii. Kila la kheri mkuu.
Pia Sababu umeweka picha, ungeandika historia yako fupi ya maisha na CV yako. Pamoja na yote, Nakuombea upate hitaji lako.
Kila rakheri! Hiyo picha ni wewe?
Umeona mwana anafanana na dr. Shika au?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jf imejaa washenz sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mwamba anataka kujivua uanachama 🤣🤣🤣🤣🤣Team CHAPUTA tukutane saa tisa jioni tuna kikao tumevamiwa.Katibu
Umenikumbusha hilo jina. Kitambo sana.Watu tuna shida sana. Mtu kapost picha huenda ni yake halafu mnabeza sura Mara mazingira na mwonekano, angepost bila picha pia mngesema.
Halafu sura sio moyo, na nyie wadada mnaobeza mshikaji wengi wenu sura mong'o lakini mnavoringa na avatar zenu sio poa kumzingua jamaa.
Hahahaha wanazingua sana man. Sasa mshikaji kajitoa hadharani na sura yake maana SURA HAIAZIMWI ndo maana wadada wanajikuta selective sana mwisho wa siku holaaaa!!Umenikumbusha hilo jina. Kitambo sana.
Sura Mong'o. Kuna washkaji walikuwa hawajali, wanajiita Non- selective in nature.
Demu yeyote hata awe kipori Lazima achezeee.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio vizuri kuwa judgemental, sura na roho ni vitu 2 tofauti halafu mbona mnakuwa hamueleweki ??? Mnataka wapaka poda sio ??Usinifanye nikatenda dhambi buree, nimefikiria vitu vingi sana kuhusu hiyo picha[emoji848] ikitokea siku umemkosea labda mmh nahisi atakudunda hadi ukome maana alivonuna hapo[emoji119]
Yego mkaruka!?Umenikumbusha hilo jina. Kitambo sana.
Sura Mong'o. Kuna washkaji walikuwa hawajali, wanajiita Non- selective in nature.
Demu yeyote hata awe kipori Lazima achezeee.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]