Mchumba anahitajika

Sijui mnakumbwa na nini, wimbi la wanaojilipua limeongezeka. Mods kuna haja ya kutoa semina elekezi. BTW, Ladies, fursa hiyo hapo, bwana Jeremia katuma na picha kabisa ya dhamana. Kutoka nchi yenye uchumi wa kati.
 
Naitwa Jeremiah nna miaka 31 naishi kibaha pwan natafuta mwenza/mchumba wa maisha na awe seriuosly umri kuanzia 28-32! Aliyeseriuos tuwasiliane+255620257229.View attachment 1695875
Picha yako mkuu haujavaa very smart, na pia umenuna sana na kukunja uso kama gaidi la al shabaab 😂😂 smile ni muhimu, pia mazingira umepigia pia hayavutii. Kila la kheri mkuu.

Pia Sababu umeweka picha, ungeandika historia yako fupi ya maisha na CV yako. Pamoja na yote, Nakuombea upate hitaji lako.
 
Acha kuchafua watu kwa kuweka picha zao Mkuu...Nina uhakika 100% sio wewe!! Kama ni wewe umeamua kuweka Picha yako basi chukua simu yako Shika Gazeti lolote la leo upige nalo picha ukiwa unalisoma.
 

Kwahiyo wewe unataka aanze kufake fake mapema kabisa...

Kama mtu ana sura serious basi hiyo ndo sura yake mwanamke aende akijua ni mtu serious,mazingira yake ndo hayo ndo yupo mazingira hayo afanyaje sasa kuanza kuwachosha watu kuomba appointment ya mlimani city wakati sio mtu wa huko...


Hii msg yako ningekuwa mods ningeifuta
 
Acha awe halisia ndo atapata mke sahihi ,hamkosi cha kukosoa ???
 
Watu tuna shida sana. Mtu kapost picha huenda ni yake halafu mnabeza sura Mara mazingira na mwonekano, angepost bila picha pia mngesema.

Halafu sura sio moyo, na nyie wadada mnaobeza mshikaji wengi wenu sura mong'o lakini mnavoringa na avatar zenu sio poa kumzingua jamaa.
 
Umenikumbusha hilo jina. Kitambo sana.

Sura Mong'o. Kuna washkaji walikuwa hawajali, wanajiita Non- selective in nature.

Demu yeyote hata awe kipori Lazima achezeee.🤣🤣🤣🤣🤣
 
Umenikumbusha hilo jina. Kitambo sana.

Sura Mong'o. Kuna washkaji walikuwa hawajali, wanajiita Non- selective in nature.

Demu yeyote hata awe kipori Lazima achezeee.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaha wanazingua sana man. Sasa mshikaji kajitoa hadharani na sura yake maana SURA HAIAZIMWI ndo maana wadada wanajikuta selective sana mwisho wa siku holaaaa!!

Halafu wengi humu mademu ni sura za kinyesi cha ngombe kilichokauka.
 
Usinifanye nikatenda dhambi buree, nimefikiria vitu vingi sana kuhusu hiyo picha[emoji848] ikitokea siku umemkosea labda mmh nahisi atakudunda hadi ukome maana alivonuna hapo[emoji119]
Sio vizuri kuwa judgemental, sura na roho ni vitu 2 tofauti halafu mbona mnakuwa hamueleweki ??? Mnataka wapaka poda sio ??
 
Umenikumbusha hilo jina. Kitambo sana.

Sura Mong'o. Kuna washkaji walikuwa hawajali, wanajiita Non- selective in nature.

Demu yeyote hata awe kipori Lazima achezeee.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yego mkaruka!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…