Prof alvin
Senior Member
- Jun 11, 2016
- 145
- 469
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 sasa elimu ni degree ni muajiriwa wa Serikali nina watoto watatu wakike 2 wa kiume mmoja.Nilioa bahati mbaya ndoa haikiweza kudumu kutokana na changamoto zake.
Naitaji mke wa kuoa umri kuanzia miaka 22 mpk 25 asiwe amezaa zaidi ya watoto wawili.Elimu yake at least kuanzia degree.Awe na maadili ya kikristo mlokole, muislamu nooo siitaji.
Kwa atakayekuwa tayari anifuate inbox kwa mawasiliano zaidi.
Naitaji mke wa kuoa umri kuanzia miaka 22 mpk 25 asiwe amezaa zaidi ya watoto wawili.Elimu yake at least kuanzia degree.Awe na maadili ya kikristo mlokole, muislamu nooo siitaji.
Kwa atakayekuwa tayari anifuate inbox kwa mawasiliano zaidi.