Sasa Hapo Ni kuwa smart.Tupo wengi humu, ila nao wadada wamezidi bhana. Yani mkishakutana PM mkabadilisha Namba za simu na kuwasiliana kisha mkakutana ili mfahamiane Basi kama unajijua dume suluali nakwambia hapo umebugi,
Demu lazima akupige Ban na hapo ndio mwisho wa mawasiliano
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Sasa Hapo Ni kuwa smart.
Unajua ukweli ji mzuri.MTU from start unaanza Na swaga nyingi.Ooh tuna kampuni, ooh kitanda, ooh tuna mashamba.
Unaombwa elfuv10 huna.lazima akimbie.
Ila ukiwa muwazi Ni nzuri sana
Malafyale Ukulonda Nkikulo Gwakwega?nipm,nimekupenda bureeee!LINGA ULIGWAKUKAJHA!
Kwa hiyo hata vitu vya uongo tuviseme tuuUnashangaa nini sasa
Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
Malafyale Ukulonda Nkikulo Gwakweg
mma nkamu ghwangu,tasi ndonde indalama,abhakikulu bha muno mu JF bhisibhile fijo indalama,linga ukanasyo mh......
Gwa KumatengeleUgwe ugwe gwa kugu??kumakamdana?
Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app