Mchumba anasomeshwa cherehani tu

Mchumba anasomeshwa cherehani tu

Short, simple and clear.
Nimekutana na msemo huu katika pita pita zangu ila nikabaki nasikitika kwanini tumefikia hatua hii.

Hii inaonyesha watu wamekwisha kata tamaa ila hapa inabidi tujifunze kitu pande zote mbili (mwanamke na mwanaume).

Kwa mwanamke, jitahidi kulipa fadhila kwa anayejitoa kuku-support wakati wowote ule.


Kwa mwanaume, ukiwa unatoa support yeyote kwa mwanamke usitegemee mambo makubwa toka kwake. Fanya kama unatoa msaada tu.

Ni hayo tu kwa leo.

Nawasilisha.

Kichwa kichafu.
 
Back
Top Bottom