Mchumba anasomeshwa

Bunyatia vanzaa vulumbalasi kuDNA anafluyi dulakasi tulipululu
 
Tusemaje basi?. Mchumba azalishwe ndio asomeshwe?

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Hongera
 
Hongera
 
Kwaiyo alomaliza 2012 now anatarajia mtoto wa tatu duh
 
"Mpaka nahisi huenda nikawa na wake wawili maana nishashindwa kabisa kumwacha huyu mwanamke. Wife anamjua na alishaamua kutokunifatilia tena, alishaumia sana lakini ndio hivyo nilishanasa."

Ulianza vizuri umeharibu hapo
 
Tumekunywa Chai yenye muarobaini japo kwa mbinde mno
 
Kaka tumekuelewa hongera ila sisi hatusomeshi kaka😃😃🤣🤣🤣
 
Kwanza hongera kwa uthubutu pili tambua kuna kitu kikubwa sana umekifanya
Hata mimi nina wife nahivi sasa ni mjamzito namshukuru kwakua anakwenda kutimiza moja ya malengo yangu kuwa na mtoto na kiukweli minapenda sana watoto .
Lakin yote kwa yote atakapo jifungua nimemuandalia zawad amabayo nilimfungilia account ya bank na kumuwekea hela Nashukuru mungu mbaka now kuna kiasi kikubwa sana cha fedha na yeye hajui lolote na adhimio langu kubwa ni kumsomesha chuo kwani aliishia kidato cha 6 lakin hakuweza kwenda chuo kwasababu ya matatizo ya kifamilia ni baada ya babaake kufariki wakabaki na mama tu hivyo alikata tamaa kabsa ya kuendelea mbaka nakutana nae na kumuoa
Alikuwa na malengo ya kuwa Medical doctor na ndokitu ambacho nakwenda kumtimizia soon nilishakwenda MUHIMBILI (MUHAS) kufatilia taratibu za chuo na ada na yeye hajui yote haya sababu nikama zawadi yangu kwake ya shukrani.

NOTE: nasisitiza mchumba hasomeshwi usije ukajarubu
Mimi nasomesha mke na tena mama watoto na ninasomesha but i don’t expect anything after doing that nasomesha kwa kuridhiana na moyo wangu na akilizangu kwa roho nyeupe hata akija kuleta mapicha picha ni juu yake mimi nimefanya kwa kumpa shukrani tu bhas coz hataikitokea tukavurugani hapo baadae na tukiachana i never mind anything
Sasa nyie kasomesheni wachumba then mka expect mavitu yenu kwa muwasomeshao yakiwakuta Hayaa situtakuwa tunaskilizia milio ya risasi tu bhas
 
Acha kudanganya wenzio, kama unepata bahati ya mtende basi usidhani ndo jinsi ilivyo, mchumba hasomeshwi katu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…