Mchumba anatafutwa (binti)

Mchumba anatafutwa (binti)

hahahah,sasa kwanin hali ya mapigo ya moyo inakukuta mgonjwa!!!sikujua kama ii coz nnayosoma dili kiasi hichi,nway i can be your personal doctor
Nikiona tu ile amevaa koti jeupe ati na yeye ana data za kutosha kichwani about this beautifully created human body yani baasi, nahisi nafunga ndoa kabisa... I love girls who take medicine, funny as it may sound ila it is my dream kuoa moja! Japo sipo kwenye field hiyo.
 
Back
Top Bottom