Jimmy copper
Member
- Sep 20, 2022
- 31
- 60
kaandika ki HR kabisa 😅Hili ni tangazo la kaz kabisa
Kashasema ye ni HR, usishangae, amezoea kuandaa matangazo ya nafasi za kaziHili ni tangazo la kaz kabisa
Ha ha ha, Yes chief we mean business!Hili ni tangazo la kaz kabisa
Asante sanaKila laheri
[emoji23] [emoji1787] muhimu ujumbe umefika mkuu!kaandika ki HR kabisa [emoji28]
Mkuu ilifaa liweje kwani tangazo?Kashasema ye ni HR, usishangae, amezoea kuandaa matangazo ya nafasi za kazi
Wewe uko na kg ngapi, maana naamini urefu wako si abnormal ( mbilikimo) [emoji23]Tatizo urefu na hizo kg[emoji1787]
Cm kama 7 hazipooo kg moja imeongezekaaa[emoji25][emoji25]Wewe uko na kg ngapi, maana naamini urefu wako si abnormal ( mbilikimo) [emoji23]
Bado upo kwenye range, kimo chako kwa ke ni Sawa kg wala si shida sababu unaweza punguza au ongezaCm kama 7 hazipooo kg moja imeongezekaaa[emoji25][emoji25]
Afu kumbe nilikuwa nafanya mahesabu vibaya kumbe 5'3ft ni sawa na 1.6m....Bado upo kwenye range, kimo chako kwa ke ni Sawa kg wala si shida sababu unaweza punguza au ongeza
Kwahyo sisi tulioishia darasa la saba B hamtutaki [emoji17][emoji17].
Afu kumbe nilikuwa nafanya mahesabu vibaya kumbe 5'3ft ni sawa na 1.6m....