gidsonbuju Member Joined Nov 16, 2022 Posts 7 Reaction score 26 Nov 28, 2022 #1 Mimi ni kijana wa kiume, umri miaka 30 , elimu degree ya ualimu , kwa sasa ni mfanyabiashara mdogo , natafuta mke wa kuoa kwa aliye serious anichek Pm. awe hana mtoto umri miaka 27, kushuka, dini sibagui, kwa sasa napatikana Katoro Geita.
Mimi ni kijana wa kiume, umri miaka 30 , elimu degree ya ualimu , kwa sasa ni mfanyabiashara mdogo , natafuta mke wa kuoa kwa aliye serious anichek Pm. awe hana mtoto umri miaka 27, kushuka, dini sibagui, kwa sasa napatikana Katoro Geita.
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,229 Reaction score 50,144 Nov 28, 2022 #2 Wanakuja.... Kila la kheri.