gidsonbuju
Member
- Nov 16, 2022
- 7
- 26
Mimi ni kijana wa kiume, umri miaka 30 , elimu degree ya ualimu , kwa sasa ni mfanyabiashara mdogo , natafuta mke wa kuoa kwa aliye serious anichek Pm. awe hana mtoto umri miaka 27, kushuka, dini sibagui, kwa sasa napatikana Katoro Geita.