Mchumba anatafutwa

Mchumba anatafutwa

Alvin Slain

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
6,375
Reaction score
3,663
Habar ndugu wanabodi. Mimi ni kijana wa kiume. Ninaishi arusha. (Kazi) mimi ni mjasiriamali kwa maana ya kujiajiri mwenyewe. Nilizaliwa miaka (25) iliyopita. Kusudio langu hapa natangaza nia ya kumtafuta kama sio kumpata mchumba ambaye atakuja kuwa mwenza wa maisha. NB. SIJAOA WALA SINA MTOTO. MCHUMBA NIMTAKAYE AWE NA SIFA HIZI. Umri 19 -22. awe anatoka mikoa ya kasikazini hususani kilimanjaro. awe mwenye hofu ya mungu. Na kikubwa zaidi awe muumini wa kanisa katoliki. Nafikiri sifa nyingne tutazirekebisha baada ya kufahamiana. Good sunday
 
Kila na kheri mkuu, ila uwe makini kama uko serious.
 
Baada ya kupata na kufahamiana, tafuteni muda mzuri na wa kutosha wa kufahamiana ana kwa ana na si kwa kupitia mitandao. Best wishes.
 
Habar ndugu wanabodi. Mimi ni kijana wa kiume. Ninaishi arusha. (Kazi) mimi ni mjasiriamali kwa maana ya kujiajiri mwenyewe. Nilizaliwa miaka (25) iliyopita. Kusudio langu hapa natangaza nia ya kumtafuta kama sio kumpata mchumba ambaye atakuja kuwa mwenza wa maisha. NB. SIJAOA WALA SINA MTOTO. MCHUMBA NIMTAKAYE AWE NA SIFA HIZI. Umri 19 -22. awe anatoka mikoa ya kasikazini hususani kilimanjaro. awe mwenye hofu ya mungu. Na kikubwa zaidi awe muumini wa kanisa katoliki. Nafikiri sifa nyingne tutazirekebisha baada ya kufahamiana. Good sunday

Like Page yetu ya Facebook uweze kujipatia Mchumba unayemtaka:
http://www.facebook.com/pages/Jitafutie-Rafiki-Mchumba/103508496480882?ref=stream
 
Back
Top Bottom