Natafuta mchumba na baadae aje awe wife..mie ni mwanaume 31yrs ft 5.5 maji ya kunde.niko mwanza. elimu yake iwe ya kawaida tu..din yeyote..kabila pia sichagui coz hatuhtaj kutambika kwenye familia yetu..mwenye nia thabiti ani-pm.vigezo na mashart kuzingatiwa.
Siulishaweka hili tangazo?
Weka bango mjini utapata.
Unamfaa wewe zaidi unaejua mahitaji yake.Okoka kwa muda utapata
Wewe anakufaa vigezo na sifa unazo kuwa mke wa jamaa
kaaah!! Jamani!!!mkuu nenda mwananyamala,komakoma,tandale kwa mtogolr au buguruni rozana watoto kibaaao wanatafuta wa kuwaoa