Mchumba anatoa mashuzi mno!

Kuna mtu alikuja humu kuomba ushauri sababu anajamba sana

Nadhani mtoa mada hii ndio partner wake
 
anapolala avae chupi,kaptula 3 na hakikisha kila mmoja anatumia shuka lake
 
du, mpaka naogopa kujibu maswali mengine sasa kwa kuakisi angalizo walilonipa wadau wengine kuwa itakuwa kama namdhalilisha wakati kiuhalisia si lengo hata kidogo!

Nimekuelewa mkuu Allamsikhi
 
Kuna mtu alikuja humu kuomba ushauri sababu anajamba sana

Nadhani mtoa mada hii ndio partner wake
sikubahatika hata kuiona hiyo mada yenyewe. hapana, hatuhusiani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…