MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,679
- 1,612
...Kulingana na jinsi ulivyo elezea, anza moja Chichi.
...By the way, pole sana.
SteveD.
Sijui hata nianzie wapi..... Ni takribani mwaka wa pili sasa nipo nae, na ni mwezi wa pili mwaka huu nilimtambulisha kwa wazazi wangu na ndugu kadhaa kuwa huyu ni "mchumba wangu mpendwa niliyependezwa nae". Baada ya hapo maisha yakatuweka mbali takribani miezi mitano, lakini tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara... Chako ni chako tu, nilianza kuhisi mabadiliko kwenye mawaasiliano yetu na hiyo iliniumiza kichwa sana, Mungu si athumani siku isiyokuwa na jina nikapata kalikizo, nikaamua ku pay a suprise visit huko kwao...mengi yakatokea lakini la muhimu niligundua kuwa mwenzangu alianzisha mahusiano yasiyo rasmi kama mawili, akakiri kuwa ni kweli amemegwa na hao washkaji kwa muda tofauti... Iliniuma sana zaidi aliponiambia kuwa mmoja kati ya hao jamaa alikuwa anafahamu kuwa yeye ni mchumba wa mtu na wakala njama kuwa mimi nisijue, kumbe hata nilivyokuwa napiga simu au kutuma msg alikuwa na jamaa yake tena anaipumulia... Amejuta sana na anadai haelewi kwa nini ali kwenda astray, nimepima moyo wangu nimeamua kumsamehe kwani bado nampenda lakini nashidwa kuishi na fact kwamba jamaa kadhaa baada yangu wamepita... Na nikifikilia zile promises alizokuwa ananipa kuwa ananipenda na kamwe hawezi kuni hurt, zinanifanya nimuone Muongo kwa kila kitu.... Nisaidieni wajameni...
UUUUUUUUUUUUUUUUUUUUuuuuuuwiJamani tusimdanganye ndugu yetu kuna adv na disad
mimi nimeoa na baada ya harusi nilikaa na mkewangu miezi 5 akaanza kumegwa
baya zaidi nilikaa nae uchmba miezi 24..baada ya kujua anamegwa nikanza kumega he akaamua kuwaplekea waliokuwa wanammega kule ireland..
Bada ya k urudi akasikia nampumulia rafiki yake wa karibu baadaye akujua aliekuwa akimpumulia nilisoma nae pale primary..ndipo mwanamke kikmwanza mara akasirike bilasababu mara anirushie maji ya moto...he
mwanawane nikaona isiwe tabu nkamuita nkauuliza unanidai hapana ndugu zako wananidai hapana hoo nilishukuru kwa majibu yale sikusita na kumwambia kila tulichochuma chako...akkaaa akakimbilia mahakamani
nikamshukuru mungu tena kwa mara ya pili kumbe alipata jibaab la ndoa yake inashake akamuahidi atamuoa..ajitahidi kupata talaka..nilimwambia mungu nikupe nini akajitahidi kuhonga na mahakimu ikatolewa ndani ya miezi 3..akaaendelea kupigwa na kuachika mpaka sasa anajaribu kuvuta nguvu ya kuja anashindwa.....ila alishangaa aliposikia kwamba niko na mwanamke wangu wa zamani ilibidi nikamlilie na tunaishi nae kama tunaelekea sayuni..jamani upendo na amani ni kitu kizuri katika mahusiano.
Wazo la kumshauri huyu ndugu ni kwamba kama amekuwa mbali kwa muda wa miezi 4-5 ana wawili jamani ni swalla la cross multiplication
miezi 5 bahasha 2
miezi 36(miaka 3) ???
Jibu utalipata....nakushauri ndugu usishindane na wanawake mwombe mungu akupe alietulia na wala usiangalie sana sura ya dhahabu mshukur mungu na zidi kuomba usikate tamaa kabisa...swala la kumwacha au la tunaomba uamue mwenye hakuna kitu kibaya siku ya siku ukaja na kichwa cha habari
walaaniwe wana jf wote na kutulist kisa walikushauri umwache...msaada wetu ni mmoja mwombe mungu akupe unaempenda usiongozwe na tamaa za mwili yaani just nampeda kweli jamani ,,,,utapenda majini ndugu
nami nitakuzidi kukuombea
salamu
'shaloom
Sijui hata nianzie wapi..... Ni takribani mwaka wa pili sasa nipo nae, na ni mwezi wa pili mwaka huu nilimtambulisha kwa wazazi wangu na ndugu kadhaa kuwa huyu ni "mchumba wangu mpendwa niliyependezwa nae". Baada ya hapo maisha yakatuweka mbali takribani miezi mitano, lakini tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara... Chako ni chako tu, nilianza kuhisi mabadiliko kwenye mawaasiliano yetu na hiyo iliniumiza kichwa sana, Mungu si athumani siku isiyokuwa na jina nikapata kalikizo, nikaamua ku pay a suprise visit huko kwao...mengi yakatokea lakini la muhimu niligundua kuwa mwenzangu alianzisha mahusiano yasiyo rasmi kama mawili, akakiri kuwa ni kweli amemegwa na hao washkaji kwa muda tofauti... Iliniuma sana zaidi aliponiambia kuwa mmoja kati ya hao jamaa alikuwa anafahamu kuwa yeye ni mchumba wa mtu na wakala njama kuwa mimi nisijue, kumbe hata nilivyokuwa napiga simu au kutuma msg alikuwa na jamaa yake tena anaipumulia... Amejuta sana na anadai haelewi kwa nini ali kwenda astray, nimepima moyo wangu nimeamua kumsamehe kwani bado nampenda lakini nashidwa kuishi na fact kwamba jamaa kadhaa baada yangu wamepita... Na nikifikilia zile promises alizokuwa ananipa kuwa ananipenda na kamwe hawezi kuni hurt, zinanifanya nimuone Muongo kwa kila kitu.... Nisaidieni wajameni...