Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

What is more important in relation: honesty or faithfullness? Suppose you can not have both!!
 
Mmege dada yake au ndugu yake wa karibu halafu u confess kwake akikusamehe muendelee na maisha
 
Katika moja ya makosa mabaya sana ni kosa katika ndoa,ni rahisi sana kumpatia rafiki au hata ndugu wa damu gari lenye thamani ya mamilioni,lakini hata ndugu yako wa kuzaliwa ikitokea kugundua kuwa ana mahusiano na mkeo
nafikiri kunaweza hata kukajitokeza vifo au uadui mkubwa.Kwa nini nimekueleza hivyo Chichi,kama mchumba wako hakuwa mwaminifu kipindi hiki cha uchumba nina wasiwasi utakuja kujuta mbeleni.Siku za mwizi ni arobani labda ndo umeshitukia lakini kwa kifupi huyo mtu si mwaminifu,ndoa ni chama ambacho waliomo wanatamani kutoka na ambao hawajaingia wanatamani kuingia kuna mambo mengi katika ndoa hivyo baadhi ya mambo yanapojitokeza kwa jinsi hii ni "warning" amini usiamini utakuja kukumbuka siku moja ukijitumbukiza.Ndugu yangu ni kazi sana kutunza asali baada ya mwezi wa asali( its difficult to keep honey after honeymoon).Epuka kuingia kwenye ndoa kama inaanza kuwa na doa.
NDOA-ukiondoa N itabakia DOA.(Ndoa imeingia dosari)
DOA- Ukiondoa D itabakia OA(ndo mwanzo wa kutafuta wa kuoa)
OA-Ukiondoa O itabakia Ahhhh....(wapambe wanakushangaaaah).
Jihadhali sana unaweza kusamehe na kisha ukasahau,msamehe kwa kosa alilokutendea ila usahau maswala ya ndoa otherwise kama nawe si mwaminifu kama yeye endeleeni na mwisho mtaumbuka.Hiki si kipindi cha kukosa uaminifu kwani dakika tano zinaweza kuzimisha ndoto yako yote.hayo ni mawazo yangu mwenye uamzi ni wewe.
 
kWANZA HILO SIO LA KUULIZA WALA KUOMBA USHAULI, WE NI KUANZISHA TU. AFTER ALL SIO MKE WAKO. KAHARIBU MWENYEWE.
 
Kakangu Chichi,

Huyo mchumba´ko asikuumize kichwa. Mwache uanze upya...alikua nao wawili huku akijua amechumbiwa? Si wa kumwamini hata kidogo. Ingekuwa mmoja...ningeweza kusema labda alishikwa na mashetani ya ngono. Wawili? mwache!!!
 
Mkionjana kabla ya ndoa basi hata mkioana uaminifu hautakuwepo....probability ya mmoja wenu kuonja baada ya ndoa is 1

kimsingi acha kuonja, subiri uoe,then ule vya halali...
 
Huyo kweli hafai, miezi mitano tu kuwa mbali nawe amemegwa na watu zaidi ya wawili. Mwambie tu it is over.
 
Kama umeleta hapa JF ukiwa tayari una uamuzi haina maana tena....ila jiulize je kwa umbali huo unamwamini tena?kama yes amuawewe...kama no pima uamuzi wako...mchumba kitu gani...na wkutambulisha si hoja....tambaa jipange upya...
 
Tabia haina dawa, hata akiacha kwa muda lazima akishakuoa/ukimuoa atamegqa/mega tena!! Kwani hakufahamu kuwa uaminifu ndio msingi wa mahusiano?
Ni vema ukafikiri kwa kina zaidi juu ya tendo alilofanya kabla ya kuendelea na maamuzi makubwa ya maisha ambayo yataku-cost baadaye
 

Wewe si ulizini nae kabla hujamuoa? sasa unashangaa nini? mnaambiwa siku zote, oeni kwanza! kiranga komo!
 
UUUUUUUUUUUUUUUUUUUUuuuuuuwi
We Mama Mia umewowa?
Na vipi tena pale maji meengi kutoka ukeni ilikuwaje?
 
Hi there,

Ndugu yangu kwa kifupi ni kwamba ndoa kwa wale wakristo ni mkataba wa kudumu, hivyo unavyousaini ni bora ufanye hivyo na mtu ambaye unamwamini. Otherwise utamuoa huyu dada kwa kuwa driven na mapenzi lakini ndani ya nyumba kutakuwa hakuna moral commitment, na matokeo yake kukitokea tatizo tayari utakuwa na biasness kuwa ndiyo maana ni hana uaminifu. Ni heri utafute mtu ambaye hana doa mbele ya macho yako. Ila angekuwa ni mke, then tungesema you had a room for negotiations.

All the best, huo ni mwanzo wa challenge za ndoa
 
Mtu wangu yaani bado unauliza?? yaani kama ni mimi hata sina haja ya kufikiri mara 2, amemegwa, tena na wawili, huyo kweli ni mke ndugu yangu! Hakuna mapenzi ya hiv, huo utakua ni ulimbukeni wa wanawake! Zinduka ndugu, huyo hakufai, tafuti mwingine!
 
jamaa yangu inabidi uwe mwangalifu sana, kwa kweli uwezi kujua huko alikokwenda kumegwa ni aina gani ya mapenzi walifanya, inawezekana wewe ulikuwa unamwandaa huyo mchumba wako aje kuwa mke kwa hiyo ulikuwa unamega kwa ustaharabu, lakini alikokwenda labda walimla tigo, au alifanya sex ambazo sio njema kwa wanafamilia(groupsex) ambazo hata kama aliconfess awezi kukwambia hayo yote
biblia inasema mke mwema m2 upewa na bwana, mi naona we shukuru mumgu sana umeyagundua haya wakati bado ujainvest sana (watoto, mali,), jaribu kujiuliza hayo uliyoyaona ni maonyo kuhusu huyo mwanamke au ndo mke mwema ambaya siku zote atakuwa mkweli kwako akimegwa anakuja na kukambia rafiki yako alikuwa anamsumbuasumbua hivyo kaamua kumpa ili atulie
 
piga chini fasta kaka. kumbuka usemi usemao "aonjae asali haonji mara moja" atarudia tu. jipange upya utampata mwingine
 

"The Hardest moment in life is not when your loosing something and tears
come out from your EYES..!

But It is When, you know you are loosing something and you are forced to SMILE..it realy hurts"
 
Yani mshkaji mpenzi wako amemegwa wakati wa u-boyfriend na u-girlfriend alafu umeamua kumsamehe mbona hiyo haijakaa vizuri? kwa kuwa si mkeo mimi nakushauri uachane nae kwani atakupa ugonjwa wa moyo bure. Kwa mtu anae kupenda ni vigumu sana kufanya mapenzi na mtu mwingine ndani ya uhusiano wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…